Mr.Wenger
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 2,569
- 6,165
Shetani aliumbwa kama malaika lkn baadae alikuja kumuasi Mungu, akirudi kuwa mwema atakuwa rafikiMungu pia alimuumba shetani, ina maana shetani ni rafiki yako kisa nyote mmeumbwa na Mungu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani aliumbwa kama malaika lkn baadae alikuja kumuasi Mungu, akirudi kuwa mwema atakuwa rafikiMungu pia alimuumba shetani, ina maana shetani ni rafiki yako kisa nyote mmeumbwa na Mungu???
hauwezi ukawa serious wewe, yaan issa kijoti amfunike mzee yusuph dah umemdharirisha sana mzee yusuph,kabla hujamfikia mzee kuna vigingi kama amigo, mohamedi ally mtu pori ndio ukutane na fundi mwenyewe mzee yusuphMkuu ilisemekana ile ajali ya five star miaka ile iliyoua wasanii wengi yeye ndio aliitengeneza kwa hofu ya kufunikwa na marehemu ISSA KIJOTI aliefariki kwenye ajali hiyo maana marehemu alikuwa anakuja juu sana kisanii. Na hili lilipelekea Mzee kukataa kushiriki wimbo uliotungwa na wasnii wa taarab wa kumuenzi marehemu Issa.
sio haram bali tunashauriwa tule na mkono ili kufuata sunna ya mtumeUkisoma Quran hata kula na kijiko ni haram.
Ni kweli kabisa amepoteza kundi la watu wengi sana, na mimi huu msemo nilikuwa nasema kila siku kila nikiangalia show zakeKwa hakika ukitazama kufuru ya matendo yaliyo katika hiyo video ya Mkuki live na pia mengine anayoyajua Mzee Yusuph mwenyewe aidha kwa kuyafanya mwenyewe au kuyashuhudia yakifanyika katika kumbi alipokuwa akipiga muziki wake basi ana kila sababu ya kulia kwa jinsi kipaji chake kilivyotumika vibaya na kuwafanya wengi kumkosea Mungu wao. Mungu amsimamie katika huo uamuzi wake wa kumrejea Mungu.
"Akirudi kua Mwema atakua rafiki"Shetani aliumbwa kama malaika lkn baadae alikuja kumuasi Mungu, akirudi kuwa mwema atakuwa rafiki
Anamtia hasira ili arudi kwenye gemhauwezi ukawa serious wewe, yaan issa kijoti amfunike mzee yusuph dah umemdharirisha sana mzee yusuph,kabla hujamfikia mzee kuna vigingi kama amigo, mohamedi ally mtu pori ndio ukutane na fundi mwenyewe mzee yusuph
man fongo ni nani.?Man Fongo atawastaafisha wengi
Unasikiliza zipi.?!Kha ametajirika anaona taarabu haina deal,akifilisika asirudi tena kwenye gemu,tatizo ili nyimbo zao ziheat wanashinda kwanza kwa waganga ,ndo maana analia,i thank God huwa sisikilizi ma nyimbo yao ambayo mpaka wakazindikwe kwanza ndo watoe
Utajiri wake ni wa kiasi gani.?!Na pesa na utajiri wote aliupata kutokana na kazi hiyo ni HARAMU kwa hiyo vyote avitupilie mbali.
Hio maana yake ni nini.?eti kafumua marinda ilala yote hadi kariakoo
Mahubiri ya Joel OsteenUnasikiliza zipi.?!
Unaelewa maana ya neno "ilisemekana" siku maanisha kuwa "alifunikwa" maana hata hiyo ajali sijui kama ni kweli ilitengenezwa na mzee Yusuph. Halafu huwezi kuusemea moyo wa mtu, huwezi kujua nani atiaye hofu mtu mwingine bali mtu mwenyewe ndie ajuaye hofu yake inasababishwa na nini/nani.hauwezi ukawa serious wewe, yaan issa kijoti amfunike mzee yusuph dah umemdharirisha sana mzee yusuph,kabla hujamfikia mzee kuna vigingi kama amigo, mohamedi ally mtu pori ndio ukutane na fundi mwenyewe mzee yusuph