Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,894
Amen,Mahubiri ya Joel Osteen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen,Mahubiri ya Joel Osteen
Amepoteza kwa vipi? Kwa kuwafanya watu wafanye dhambi zipi?Ni kweli kabisa amepoteza kundi la watu wengi sana, na mimi huu msemo nilikuwa nasema kila siku kila nikiangalia show zake
Hata Qaswida?"..... Hakika mziki ni shetani...."
Iwe Qaswida au Dufu vyote ni kharamu.
Hata Filimbi.Hata Qaswida?
Kinachomliza nikipi sasa,kuacha mziki au nini?
Amin.Acha atubu akhera pazito mkuu..kaona mbali sana huyu jamaa..Allah atupe mwisho mwema sote.
PointNa pesa na utajiri wote aliupata kutokana na kazi hiyo ni HARAMU kwa hiyo vyote avitupilie mbali.
Ndio na mimi najiulizaAnalia nini sasa???
![]()
Imeandikwa kwenye Surat ipi katika qur'an?Hata Filimbi.
Hahahaha lazima utakua wa upande wa pili wewe maana si kwa maswali haya ya kijahili,Imeandikwa kwenye Surat ipi katika qur'an?
Ni mtume ama swahaba yupi alipinga muziki?
Tarawe unaizungumziaje?
That's soo nice, keep it up!Mahubiri ya Joel Osteen
Kwani kaswida sio muziki? Ni vizuri tusijivue ufahamu kwa sababu ya ushabiki tukatupa akili pembeni. Mimi sio mshabi wa taarabu wala bongo fleva. Ila ni vizuri kujua maana ya muziki kuwa ni sauti zilizopangiliwa zenye kuleta vionjo. Hili tumejifunza darasa la pili. Hivyo ni vizuri kusema ameachana na uovu ambao bila shaka alikuwa anaufanya kupitia taarabu. Pia ni vizuri kusema wanamuziki wengi wanaingia katika mtego wa uovu kutokana na umaarufu wao. Kwa hiyo alichokifanya mzee Yusufu ni kutupa jongoo na mti wake jambo ambalo ni jema bila kuleta vitisho kwa washabiki wake aliowauzia santuri. Hekima zaidi ilipaswa.Ndio, muziki ni haramu kwa waislam
Kwani kaswida sio muziki? Ni vizuri tusijivue ufahamu kwa sababu ya ushabiki tukatupa akili pembeni. Mimi sio mshabi wa taarabu wala bongo fleva. Ila ni vizuri kujua maana ya muziki kuwa ni sauti zilizopangiliwa zenye kuleta vionjo. Hili tumejifunza darasa la pili. Hivyo ni vizuri kusema ameachana na uovu ambao bila shaka alikuwa anaufanya kupitia taarabu. Pia ni vizuri kusema wanamuziki wengi wanaingia katika mtego wa uovu kutokana na umaarufu wao. Kwa hiyo alichokifanya mzee Yusufu ni kutupa jongoo na mti wake jambo ambalo ni jema bila kuleta vitisho kwa washabiki wake aliowauzia santuri. Hekima zaidi ilipaswa.