Mzee Yusuph: Maisha yangu yamekuwa magumu baada ya kuacha muziki

na kama aliroga na kuwafanya watu misukule hapo asitubu?
 
Kila atakaekunifuata, ajikane mwenyewe, aubebe msalaba wake anifuate..

Itamfaidia nini mtu akiupata ulimwengu wote akaukosa uzima wa milele na nafsi yake kupotea?

Hayo ni maneno ya kwenye Biblia

Hayo maneno alisema allah? allah ni Mungu? Wapi alaah alisema hivyo?
 
Mwongo mkubwa anazurura huku mikoani akitoa mihadhara ndani ya Benz kali anakula dhakat ya waarabu waliomsimamisha kuimba
 
Ila jamaa bado ananyota ya muziki wa Taarab...alikurudi tu anatusua tena
 
HIVI MZEE WW NI WA KULALAMIKA? MTU SHOW MOJA ULIKUWA UNAPIGA MAMILIONI? GARI KALI ULIZOKUA NAZO VEPE
Majumba ya kifahari, mtu ulikua unaenda USA, UK na DUBAI every time
Hadi watu wakaanza kukilinganisha na kina kiba na mondi kwa pesa
Leo ndo imekua hivyo daaaah
Hakuna wasanii walikua wanalipwa vizuri kama wa bendi yake alikua anawalipa vizuri ile mbaya wengi wamejenga kupitia bend yako.pesa ilikua ndefuuu mpk mwez wa ramadhan wasanii wanapewa fungu la ukweli leo ndo mzee yusuf unalia so sad!
 
Mzee alikua na hela mkwanja mrefuu kinoma asikwambie mtu
Hivi wasanii huwa hawaweki akiba?alikua milionea
 
Muziki si dhambi kwa imani unayoiamini wewe au imani anayoaminj mzee yussuf?
 
Arudishe milion 25 za watu,aache kumsingizia Allah.
 
Aweke namba yake ya Tigo Pesa tumchangie Maalim wetu.
 
Kwa hiyo anataka arudi katika kuimba??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…