Mzee Yusuph: Maisha yangu yamekuwa magumu baada ya kuacha muziki

Allah akutie moyo SHEIKH!
 
Kama ameamua kumtumikia Mungu basi hilo lisimtishe kwani njia ya kwenda mbinguni sio lelemama,aendelee tu bila ya kukata tamaa mwenyezi atamuwekea wepesi,hayo ni majaribu tu ya shetani.
 
Sasa analalamika nini?

Apambane na hali yake.....

Wamtumainiao BWANA hawatatikisika milele daima. ...
 
Alalamike mmoja wa waimbaji wake, lakini si mkulu mwenyewe Mzee Yusuph.
 
Kwani huyu Mzee Yusuf nani alimkataza aache muziki? Ni sheikh MKUU au nani
 
mzee yusuph angeenipa jina lake tu mjini hapa nifungue hata mgahawa nipate ela mie...yaani wengne tunaomba usiku na mchana tutoke...mwenzetu hana habari kabsaa...Mungu anakazi sanah
 
sijui alishauliwa na nani jamani...hakukuwa na ulazima huooo..mbna wakati nataka kutoka alikuwa naomba radhi kwa mashabiki wanue kazi yake
 
mwingne ukimuuliza kwani kuokoka manaake n hajui....kukicha kanisani..akirudi nyumbani njaa kali...sasa sijui Mungu ashuke au lah
 
nayo hiyo tusme mipango ya Mungu au...maana una kitu ch kukupaia kipato unakikimbia...mmhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…