Mzee Yusuph Makamba: Nampongeza Rais Samia kwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, asema isiwe mshangao wakirudishwa

Mzee Yusuph Makamba: Nampongeza Rais Samia kwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, asema isiwe mshangao wakirudishwa

Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Mjinga tu huyo.
 
Time hii akiandaa katuni atamfwata yule jeuri wa Londo

Kima achekewi kwenye mahindi mara mbili kaka

Jiwe aliambiwa fyatua akawa na huruma ndio mistake kubwa kabisa🔊🔊
Kwamba fyatua!!

Magu alikuwa na huruma sana,

Yuaja mfyatuzi wa kutumia HEKIMA!!
 
Time hii akiandaa katuni atamfwata yule jeuri wa Londo

Kima achekewi kwenye mahindi mara mbili kaka

Jiwe aliambiwa fyatua akawa na huruma ndio mistake kubwa kabisa🔊🔊

yeah ndiyo maana Dunia iko jinsi ilivyo, its good against evil, hivyo hata yeye mtumbuaji kama hajajua kwamba evil exists kitakachokuja kumpata hatokisahau kama akisurvive kwani wao hawatakuwa na huruma naye wakipata nafasi …
 
yeah ndiyo maana Dunia iko jinsi ilivyo, its good against evil, hivyo hata yeye mtumbuaji kama hajajua kwamba evil exists kitakachokuja kumpata hatokisahau kama akisurvive kwani wao hawatakuwa na huruma naye wakipata nafasi …
Now red flag iko juu

Wakibpu wanapigiwa kwa Head alafu wanakosa pa kujishika

Now hakuna tena huruma mkuu watulie tuli
 
Time hii akiandaa katuni atamfwata yule jeuri wa Londo

Kima achekewi kwenye mahindi mara mbili kaka

Jiwe aliambiwa fyatua akawa na huruma ndio mistake kubwa kabisa
Baba anasukuma kete awkward cause he knows the reason,Malkia hana simile kupress batani wala hajali.
Siyo mwenzao hata juzi alikuwa majini kwao mwaka huu ngoma inogile na Kuna yule kapelekwa Kilimanjaro ili kufikisha ujumbe ironically.Mnamdharau sababu kavaa sketi lakini ni nyang'au zaidi ya jiwe.
 
Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Ana umuhimu kwako
 
Tenguzi Kwa makamba ni faida kwake.maana ameondika na bilioni mia sita kwenye wizara yake ya mambo ya nje.maana alijua muda wowote atatoka na kuanza kuchota pesa mapema kabisa .
Pesa nyingi amepiga wakati yupo nishati
 
Tenguzi Kwa makamba ni faida kwake.maana ameondika na bilioni mia sita kwenye wizara yake ya mambo ya nje.maana alijua muda wowote atatoka na kuanza kuchota pesa mapema kabisa .
Hiv unafahamu bajeti ya wizara ya mambo ya nje kwa mwaka huu ni kiasi gani? Haizidi bilioni 200 na ndo kwanza mwaka wa fedha umeanza. Sasa hzo bilioni 600 kaziiba kutoka fungu gani?
 
Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Vizuri
 
Huyu mzee alikuwa na mganga wake alikuwa kiboko sana angekuwepo hai, mwanawe asingetumbuliwa. Huyo sangoma jina lake Mohamed Mbega enzi za uhai wake wakati wa Jk alikuwa anaingia Ikulu muda wowote, alikuwa mtu muhimu sana kwenye utawala wa JK na ndiye alifanya Makamba na JK wawe na uswahiba mkubwa.
Ni yule wa pale chalinze?
 
Back
Top Bottom