Mzee Yusuph Makamba: Nampongeza Rais Samia kwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, asema isiwe mshangao wakirudishwa

Mzee Yusuph Makamba: Nampongeza Rais Samia kwa mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, asema isiwe mshangao wakirudishwa

Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Mzee wa wazuri hawafi kama alivyokuwa kilaza yeye ndo kama Mwanae alivyo
 
Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Wenzake wametumbuliwa kisa hizo pongezi
 
Ile kauli yake "wazuri hawafi" itamtesa sana Duniani na ahera. Nimejifunza it's better to have something to say rather than saying something. Tuchunge midomo
 
Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Mzee anamtafutia huruma mtoto wake
 
Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Huyu mzee comedian ajue muda wake umeisha. Hawezi tena kuhadaa watu huku sera zake ni kuweka tumbo lake na jamaa zake mbele. Hatujasahau jinsi alivyopewa ukatibu mkuu wa ccm na rafiki yake jk alituvurugia chama wanaccm. Aliendesha ushikaji tu na chama kupoteza maadili kabisa.
 
Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni 🙏

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Amejibu vema.Na akiwa nje ya uwanja anaweza akajirekebisha baada ya kujitafakari alipojikwaa.
 
Salaam Shalom!!

Mzee wetu ameibuka na Kutoa Pongezi kedekede Kwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan Kwa uamuzi mzuri aliofanya kuwabadili baadhi ya mawaziri, mtoto wake akiwemo.

Amemfananisha Rais na Coach jinsi anavyobadili kikosi, Nia ni ushindi.

Ameenda mbali na kuwapongeza waliotumbuliwa akidai pia wanastahili Pongezi Kwa kuwa wamemsaidia Rais Kwa muda waliokuwa mamlakani.

Itoshe kusema kuwa, Mzee huyu naye ni MMOJA wa wazee muhimu waliobaki, tuwatumie.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA [emoji1241]

Source: Mahojiano, Wasafi media.

Karibuni [emoji120]

======


Mwandishi: Mzee Makamba bwana, tumeona mabadiliko ya Baraza la mawaziri!

Makamba: Wewe unashangaa nini?

Mwandishi: Sishangai mzee Makamba, naangalia picha yako unavyoangalia na mheshimiwa Rais anavyoboresha

Makamba: Sawa labda nikwambie mambo mafupi tu! Halooo

Mwandishi: Nakusikia Mzee Makamba

Mzee Yusuph Makamba: Hivi kocha wa Simba akimtoa mchezaji unamlaumu? Mambo mawili yanayoweza kumfanya amtoe mchezaji, mwingine anaweza akawa hana makosa lakini amechoka, pumzi zimeisha lakini pumzi zikirudi anamrudisha tena maana hawa ambao leo wametolewa, walikuwemo wakatoka na wamerudi tena.

Kwahiyo usije ukashangaa tena mwingine akarudi baadae, jambo la kawaida tu. Nasema Rais ni kocha, kazi ya kocha ni kuhakikisha kwamba magoli yanafungwa.

Kwahiyo anatazama, je katika kipindi hiki nani mchezaji bora kuliko mwingine anamchukua na hawa anawapumzisha.

Kwahiyo tunampongeza Rais kwa uteuzi alioufanya, tunawapongeza walioteuliwa na tunawapongeza na hata hawa wameondolewa, wanapaswa kushukuru maana si walikuwemo?
Mwanasiasa nguli mzee Yusufu Makamba [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom