Mzee Zahiri Ally Zoro Akiwa Na Watoto Wake

Mzee Zahiri Ally Zoro Akiwa Na Watoto Wake

MKONGO, WENGI WAKONGO MAN, DIAMOND NA KOFFI NI MTU NA MJOMBA WAKE AKIMAANISHA ASILI YAO NI KONGO SO WHAT?
SIFA ZA KIPUMBAVU. MTU ASIFIWE KWA CREDIBILITY NA SIO UKIMBIZI.
Umesoma na kuelewa alicho eleza au unachuki zako tu mkuu? Jamaa kaeleza historia ya kabila la Wamanyema kwasababu mimi nimesema utotoni na wenzangu tulikua tunashindwa kutamka Zahir badala yake tulitamka Zaire Ali then nikagusia issue ya kabila lake huyu mwamba, jamaa kwa maelezo yake ndio kaonesha uhusiano wa Manyema na Ukongo wake, kaendelea kuthibitisha kuhusu kabila hilo na alicho kisema mama yake Diamonds, KOSA hapo ni nini mkuu!?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Back
Top Bottom