Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Serikali ingesitisha manunuzi ya magari yake yanofumia mafuta na yale yote yalotumika yangeuzwa.
Kisha dealers waagizwa kuleta magari mapya yenye kutumia hiyo gesi.
Yaani serikali yatakiwa kufanya mambo haya kwa awamu phase1, phase2 na kuendelea. Si kukurupuka tu usubuhi jogoo awika na waja na kauli tatanishi hata wale wauza mafuta waweza kupatwa na mstuko wa moyo.
Hata Toyota akiambiwa aje aa assemble hayo magari hapa anakubaliSerikali ingesitisha manunuzi ya magari yake yanofumia mafuta na yale yote yalotumika yangeuzwa.
Kisha dealers waagizwa kuleta magari mapya yenye kutumia hiyo gesi.
Yaani serikali yatakiwa kufanya mambo haya kwa awamu phase1, phase2 na kuendelea. Si kukurupuka tu usubuhi jogoo awika na waja na kauli tatanishi hata wale wauza mafuta waweza kupatwa na mstuko wa moyo.
Hii ni theory tu unazungumzia, nakwambia tena.. bado kutakua zengwe la umeme hata bwawa likianza uzalishaj!! Tatizo ni mfumo wa kipigaji!!Hatutauziwa bali tutajiuzia wenyewe kwani utakuwa ni wa kwetu, tena ni mwingi wa kumwaga na running cost ni negligible kwani unaendeshwa na maji ambayo ni ya bure.
Ukitoza Sh 50 kila unit na watanzania wote wakaweza kutumia umeme, serikali itakusanya pesa nyingi kuliko zile zinazokusanywa na TRA. Wewe kokotoa uone. Hivyo serikali itaachana na tozo za kipuuzi za kutafuta hela ya uendeshaji. Itapunguza hata hizo kodi lukuki kwenye kila lita ya mafuta ya petroli. Viwanda vitaongezeka na kuzalisha bidhaa zenye bei nafuu na kadhalika.
Wawekezaji kama hao wahitaji mazingira murua ya kufanyia biashara zao na soko la uhakika.Hata Toyota akiambiwa aje aa assemble hayo magari hapa anakubali