"Mzigua" Au aliyeoa uziguani Afunguke hapa!!!!!

Watu husema wazigua/wazigula ukikaa vibaya wanakutapel mahari naomben kufaham ukwel na je unakuta unamahusiano na msichana wakizgua alaf apate msiba wa mama/baba alaf badae msichana akutambulishe kwa mzazi wake may be baba je kuna faini zozote utakazopigwa akati hukwenda msibani kumbuka apo awali kabla ya msiba hukutambulishwa kwa wazazi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…