Mzigua90 kikaangoni

Kwa iyo kwa kusema ivyo wewe unapingana na wanaume wa kizigua kwa maana ktk moja ya post zako umesema unavutiwa na mwanaume mwenye focus ya kutafuta pesa pamoja na mzuri darasani kama sikosei.
Napingana nao kabisa..
 
Hiyo ni tabia mbaya ya mtu mkuu, ninavyompenda mwanangu hivi kweli nimtenge kisa ndoa? Siko kama wao mkuu. Bora kupoteza ndoa ila sio huyu mtoto nilienae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…