Mziki uleule DJ tofauti: Wakenya watamani uongozi wa TZ baada ya Rais Mama Samia kufukuza Mkurugenzi

Mziki uleule DJ tofauti: Wakenya watamani uongozi wa TZ baada ya Rais Mama Samia kufukuza Mkurugenzi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1616941919730.png
1616941939932.png
1616941963493.png
1616941977552.png
1616942009904.png
1616942032546.png
1616942047905.png
1616942071982.png
 
Hiyo hela mbona ndefu sana, yaani ina maana haya yote yalitendeka chini ya uongozi wa marehemu Magufuli, yule humu mlitupigia makelele namna alivyokua amemaliza ufisadi. Na hapo bado, mama ameamuru ukaguzi ufanywe BOT kila hela iliyotoka humo itolewe maelezo, ina maana madudu yatajitokeza kama yote.
Kwa makelele yote hayo ya marehemu Magufuli na tumbua zote zile bado hela ilikua inapigwa tena ndefu sana, hehehe Afrika bana, ukiingia Youtube hakuna msanii maarufu Tanzania ambaye hakuimba nyimbo za kumsifu Magufuli.

Binafsi namtakia kila la kheri huyu mama, naona sio mwenye majigambo na vijembe, anachimba kimya kimya, na labda kwa mfano wake wengine tunaweza tukaiga kumpigia kura kiongozi mwanamke kwenye mataifa yetu. Sema tu bado hajafanya kikubwa ndio mwanzo, maana hao hapo ameamrisha wakae pembeni uchunguzi ufanywe, hayo tumeyazoea, mpaka pale tutaona watu wananyea debe kwa ufisadi ndio tutakua na uhakika kwamba kuna cha maana kinatendeka.

Tumuombee na kutegemea atahamasisha mahusiano mema, hata body language inaonyesha alivyo mskivu na mkomavu

ExLSbCeVkAMJyHy.jpg
 
Hiyo hela mbona ndefu sana, yaani ina maana haya yote yalitendeka chini ya uongozi wa marehemu Magufuli, yule humu mlitupigia makelele namna alivyokua amemaliza ufisadi. Na hapo bado, mama ameamuru ukaguzi ufanywe BOT kila hela iliyotoka humo itolewe maelezo, ina maana madudu yatajitokeza kama yote.
Kwa makelele yote hayo ya marehemu Magufuli na tumbua zote zile bado hela ilikua inapigwa tena ndefu sana, hehehe Afrika bana, ukiingia Youtube hakuna msanii maarufu Tanzania ambaye hakuimba nyimbo za kumsifu Magufuli.

Binafsi namtakia kila la kheri huyu mama, naona sio mwenye majigambo na vijembe, anachimba kimya kimya, na labda kwa mfano wake wengine tunaweza tukaiga kumpigia kura kiongozi mwanamke kwenye mataifa yetu. Sema tu bado hajafanya kikubwa ndio mwanzo, maana hao hapo ameamrisha wakae pembeni uchunguzi ufanywe, hayo tumeyazoea, mpaka pale tutaona watu wananyea debe kwa ufisadi ndio tutakua na uhakika kwamba kuna cha maana kinatendeka.

Tumuombee na kutegemea atahamasisha mahusiano mema, hata body language inaonyesha alivyo mskivu na mkomavu

ExLSbCeVkAMJyHy.jpg
fedha za KEMSA Kshs7.8 bln ni ndogo sana!
 
Hiyo hela mbona ndefu sana, yaani ina maana haya yote yalitendeka chini ya uongozi wa marehemu Magufuli, yule humu mlitupigia makelele namna alivyokua amemaliza ufisadi. Na hapo bado, mama ameamuru ukaguzi ufanywe BOT kila hela iliyotoka humo itolewe maelezo, ina maana madudu yatajitokeza kama yote.
Kwa makelele yote hayo ya marehemu Magufuli na tumbua zote zile bado hela ilikua inapigwa tena ndefu sana, hehehe Afrika bana, ukiingia Youtube hakuna msanii maarufu Tanzania ambaye hakuimba nyimbo za kumsifu Magufuli.

Binafsi namtakia kila la kheri huyu mama, naona sio mwenye majigambo na vijembe, anachimba kimya kimya, na labda kwa mfano wake wengine tunaweza tukaiga kumpigia kura kiongozi mwanamke kwenye mataifa yetu. Sema tu bado hajafanya kikubwa ndio mwanzo, maana hao hapo ameamrisha wakae pembeni uchunguzi ufanywe, hayo tumeyazoea, mpaka pale tutaona watu wananyea debe kwa ufisadi ndio tutakua na uhakika kwamba kuna cha maana kinatendeka.

Tumuombee na kutegemea atahamasisha mahusiano mema, hata body language inaonyesha alivyo mskivu na mkomavu

ExLSbCeVkAMJyHy.jpg
Hatuhitaji uhusiano mwema na Kenya, huyu mama hawezi kwenda kinyume na Magufuli, akifanya hivyo atapoteza uchaguzi 2025

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hizo ripoti za CAG ziliandaliwa magufuli akiwa madarakani... samia nikuzipokea tu na kufanya maamuzi... Samia ame "suspend" Mkuu wa TPA, JPM angemfuta kabisa na amfungulie kesi ya kuhujumu uchumi.. Mama anaonekana mpole kidogo, lakini mapema sana.. kazi yake bado hatujaiona
 
Sisi. hatukusema kwetu hakuna ufisadi....Nyinyi mlijidai eti kwenu kusafiiiii ..kumbe ufujaji umekithiri kichini chini
Yule CAG wa awali alipogundua wizi wa trilioni 1.5 wakamtupia nje, huyu wa sasa ana bahati amewasilisha huu wizi chini ya rais tofauti.
Hawa jameni nchi yenyewe maskini halafu unaiba hela yote hiyo, utaua watu.
 
Yule CAG wa awali alipogundua wizi wa trilioni 1.5 wakamtupia nje, huyu wa sasa ana bahati amewasilisha huu wizi chini ya rais tofauti.
Hawa jameni nchi yenyewe maskini halafu unaiba hela yote hiyo, utaua watu.
Muhimu ni kwamba hatuhitaji uhusiano mzuri na Kenya, Tanzania ni gumzo duniani kote kwa sasa, Kenya mnajaribu kulazimisha mahusiano na sisi, tunasubiri mfunge mpaka wenu kama mlivyoambiwa naabwana zenu wa UK muone moto tutakaowawashia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu unapoteza muda wako bure kumshambulia marehemu.Yaani akili yako ipo kama ya Tundu Lissu
Magu has gone!ccm bado tupo

Sijamshambulia ila najikuta nikishangaa maana taarifa ni nyie mnazitoa na kuanika, sasa tusishangae habari zenu wenyewe?
 
Hiyo hela mbona ndefu sana, yaani ina maana haya yote yalitendeka chini ya uongozi wa marehemu Magufuli, yule humu mlitupigia makelele namna alivyokua amemaliza ufisadi. Na hapo bado, mama ameamuru ukaguzi ufanywe BOT kila hela iliyotoka humo itolewe maelezo, ina maana madudu yatajitokeza kama yote.
Kwa makelele yote hayo ya marehemu Magufuli na tumbua zote zile bado hela ilikua inapigwa tena ndefu sana, hehehe Afrika bana, ukiingia Youtube hakuna msanii maarufu Tanzania ambaye hakuimba nyimbo za kumsifu Magufuli.

Binafsi namtakia kila la kheri huyu mama, naona sio mwenye majigambo na vijembe, anachimba kimya kimya, na labda kwa mfano wake wengine tunaweza tukaiga kumpigia kura kiongozi mwanamke kwenye mataifa yetu. Sema tu bado hajafanya kikubwa ndio mwanzo, maana hao hapo ameamrisha wakae pembeni uchunguzi ufanywe, hayo tumeyazoea, mpaka pale tutaona watu wananyea debe kwa ufisadi ndio tutakua na uhakika kwamba kuna cha maana kinatendeka.

Tumuombee na kutegemea atahamasisha mahusiano mema, hata body language inaonyesha alivyo mskivu na mkomavu
Tumia common sense mkuu, Hata jeshi la polisi liwe imara sana haiwezi kutokea kukakosekana matukio ya wizi, Ndivyo ilivyo huku, we do not tolerate corruption lakini haimaanishi kwamba kutakuwa hakuna correuption 100%, Ndio kazi ya cag kuripoti sehem ambazo zimepigwa pesa na kinachofata ni kuwashughulikia viongozi wa idara husika.

Kenya imejaa corrupt governent officials lakini sijui lini watu wametumbuliwa, Huku walijaribu kujitete wawe wanakuwa suspended kimya kimya wakidai eti ni uvunjaji wa haki za binadamu wao kutumbuliwa in public, Je walivyokuwa wanaiba walikuwa wanaiba kwa haki za binadamu 😂😂😂.

Ila its plain clear kwamba wakenya wanataka kiongozi ambaye ataanza kufukuza corrupt leaders, sio kuwakenulia meno tu 😂😂
 
Tumia common sense mkuu, Hata jeshi la polisi liwe imara sana haiwezi kutokea kukakosekana matukio ya wizi, Ndivyo ilivyo huku, we do not tolerate corruption lakini haimaanishi kwamba kutakuwa hakuna correuption 100%, Ndio kazi ya cag kuripoti sehem ambazo zimepigwa pesa na kinachofata ni kuwashughulikia viongozi wa idara husika.

Kenya imejaa corrupt governent officials lakini sijui lini watu wametumbuliwa, Huku walijaribu kujitete wawe wanakuwa suspended kimya kimya wakidai eti ni uvunjaji wa haki za binadamu wao kutumbuliwa in public, Je walivyokuwa wanaiba walikuwa wanaiba kwa haki za binadamu 😂😂😂.

Ila its plain clear kwamba wakenya wanataka kiongozi ambaye ataanza kufukuza corrupt leaders, sio kuwakenulia meno tu 😂😂

Ni kweli hakuna jamii isiyokua na ufisadi hata kule Marekani kwa wanaopenda kupiga makelele na wao hupiga hela tu, ila kwenu hapo zinatajwa mabilioni mpaka nachoka kuhesabu zeroes, mwaka juzi ilitajwa trilioni 1.5 mkamtupia nje CAG, jameni hivi unapiga trilioni kwa nchi maskini kama yenu si ndio unaiacha mifupa.
Nchi yenu kwa kweli mna uhimilivu wa hali ya juu, umaskini wote huo na bado mnapigwa hela ndefu lakini bado mpo mpo tu.
 
Back
Top Bottom