Mziki uleule DJ tofauti: Wakenya watamani uongozi wa TZ baada ya Rais Mama Samia kufukuza Mkurugenzi

Mziki uleule DJ tofauti: Wakenya watamani uongozi wa TZ baada ya Rais Mama Samia kufukuza Mkurugenzi

Ni kweli hakuna jamii isiyokua na ufisadi hata kule Marekani kwa wanaopenda kupiga makelele na wao hupiga hela tu, ila kwenu hapo zinatajwa mabilioni mpaka nachoka kuhesabu zeroes, mwaka juzi ilitajwa trilioni 1.5 mkamtupia nje CAG, jameni hivi unapiga trilioni kwa nchi maskini kama yenu si ndio unaiacha mifupa.
Nchi yenu kwa kweli mna uhimilivu wa hali ya juu, umaskini wote huo na bado mnapigwa hela ndefu lakini bado mpo mpo tu.
tsh3 bln ni ela ndogo sana compared to ile $3bln ya covd¹⁹!!
=1mln$ nahisi angekua kenya wangemsamehe na kumcheka kwa kuiba pesa ndogo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
tsh3 bln ni ela ndogo sana compared to ile $3bln ya covd¹⁹!!
=1mln$ nahisi angekua kenya wangemsamehe na kumcheka kwa kuiba pesa ndogo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]

Trilioni 1.5 ni hela ndogo???? Kwa hako kauchumi kenu ambako ni nusu ya uchumi wetu, sio ndio mnaua na kuacha mifupa tupu? Ndio maana omba omba wenu hawaishi kuja kutuzingua.
 
Trilioni 1.5 ni hela ndogo???? Kwa hako kauchumi kenu ambako ni nusu ya uchumi wetu, sio ndio mnaua na kuacha mifupa tupu? Ndio maana omba omba wenu hawaishi kuja kutuzingua.
the choice is yours either to stick with false accusations or otherwise!

aya em tuambie alokwapua 1.5trn?



NB:jf is the home of great thinkers
 
Sijamshambulia ila najikuta nikishangaa maana taarifa ni nyie mnazitoa na kuanika, sasa tusishangae habari zenu wenyewe?
Hiyo report imeandaliwa na mtu alieteuliwa na magu, magu akiwa hai ili magu aione. Tena imechelewa kusomwa sababu ya msiba wa magu. Sasa sijui kinachokuwasha ni nn hapo.
Yule cag mwingine muda wake wa kustaafu ulishafika, bado tu unapambana na maiti, hivi hukuona alivyoagwa, unadhani wote wale walikuwa wanamlilia for nuthn.
Samia anaendeleza alipoachia magu.
 
Nafkr huwa unapunguza stress zako unapoita wenzio maskn. Ili ili unajua kwa hakika hakuna tofauti ya mtz na mkenya kwenye maisha halisi. Tupia mbali majengo magorofa na viwanda ambako kunaweza kuwa na tofauti kiduchu lakin yale maisha halisi ya mkenya wa kawaida na mtz wa kawaida wala hatuchekani. Isitisho watz wanaweza wa kawaida wanaweA kuwa na maisha standard kuliko wakenya wa kawaida. Hapo unaweza kataa lakn ukweli utabakia kuwa vilevile.
Utajiri wa serekali ya kenya unafaidiwa na group la watu wachache sana. Uchumi wa kenya hauna tofauti na ule wa S.A ambao mostly umeshikwa na watu weupe.
So napata shida ya kukusoma unaposema umasikini wenu kana kwamba kuna tofaut ya nchi hz.
Isitoshe kama ni maskin unavotaka kunirizisha wewe hio hela ndefu inaibwaje na nchi inaendelea kusurvive.
Pinguza uzwazwa bro endelea kutunza heshma yako na uje huku tukuuzie mahindi usije kufa njaa apo murang'a
Huyo hawezi punguza uzwazwa, born and bred zwazwa.
 
the choice is yours either to stick with false accusations or otherwise!

aya em tuambie alokwapua 1.5trn?



NB:jf is the home of great thinkers

Sio kazi yangu hiyo, CAG alijaribu kuwasaidia kwa hizo trlioni mkagoma kumskliza na kumpiga chini.

Halafu kwa mlivyo majuha, eti mlikua mnapokea gawio la ATCL, hii ambayo inasemwa imekula hasara la 60b
Nyie watu bana...mnatia huruma
 
Hata kuhesabu zeroes za hiyo hela siwezi, aisei nyie ndio Wabongo kweli kweli.

mengine yanabaki kuwa siasa tu ndugu.liliishatokea sakata la upotevu wa tsh bln 360,tanzania ilisimama.

pesa ilibebwa na watuhumiwa mpaka kwenye mifuko ya magunia.
 
Yule CAG wa awali alipogundua wizi wa trilioni 1.5 wakamtupia nje, huyu wa sasa ana bahati amewasilisha huu wizi chini ya rais tofauti.
Hawa jameni nchi yenyewe maskini halafu unaiba hela yote hiyo, utaua watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hiyo sentence ya mwisho imefanya nichekeke kwa sauti.....
.... ukitudhulumu hela na haki zetu sisi watanzania huwa tunasemelea kwa Mungu.....hakuna aliyewahi toka salama.
 
Muhimu ni kwamba hatuhitaji uhusiano mzuri na Kenya, Tanzania ni gumzo duniani kote kwa sasa, Kenya mnajaribu kulazimisha mahusiano na sisi, tunasubiri mfunge mpaka wenu kama mlivyoambiwa naabwana zenu wa UK muone moto tutakaowawashia.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
TOKA LINI MASKINI AKAMTISHIA TAJIRI
 
Nani alisema wakar wa magu kulikua hakuna ufisadi? Tena ulikua mkubwa tu tofauti na sasa mambo yatawekwa hadharani. Kaka magu hakutaka sirikali yake ichafuliwe so alikua anamaliza kimya kimya. Cheki ata loss ya ATCL ambayo CAG amesema kuna hasara zaid ya TZS 60b. Ambayo ingekua bro magu yupo hio ingebadikishwa jina balada ya loss iwe faida. Chezea ngosha wewe
KIMYA KIMYA WAPI wakati kila mara tulimuona mitaani akiwika ...mkurugenzi yuko wapi....mkuu wa mkoa yuko wapi.... eleza pesa ziko wapi
 
Hiyo hela mbona ndefu sana, yaani ina maana haya yote yalitendeka chini ya uongozi wa marehemu Magufuli, yule humu mlitupigia makelele namna alivyokua amemaliza ufisadi. Na hapo bado, mama ameamuru ukaguzi ufanywe BOT kila hela iliyotoka humo itolewe maelezo, ina maana madudu yatajitokeza kama yote.
Kwa makelele yote hayo ya marehemu Magufuli na tumbua zote zile bado hela ilikua inapigwa tena ndefu sana, hehehe Afrika bana, ukiingia Youtube hakuna msanii maarufu Tanzania ambaye hakuimba nyimbo za kumsifu Magufuli.

Binafsi namtakia kila la kheri huyu mama, naona sio mwenye majigambo na vijembe, anachimba kimya kimya, na labda kwa mfano wake wengine tunaweza tukaiga kumpigia kura kiongozi mwanamke kwenye mataifa yetu. Sema tu bado hajafanya kikubwa ndio mwanzo, maana hao hapo ameamrisha wakae pembeni uchunguzi ufanywe, hayo tumeyazoea, mpaka pale tutaona watu wananyea debe kwa ufisadi ndio tutakua na uhakika kwamba kuna cha maana kinatendeka.

Tumuombee na kutegemea atahamasisha mahusiano mema, hata body language inaonyesha alivyo mskivu na mkomavu

ExLSbCeVkAMJyHy.jpg
Na Bado yanafukuliwa mengi.

Utasikia kafanya vitu vimeonekana hata kama kapiga ndio wimbo genge nufaika wameanza kuimba
 
Sijamshambulia ila najikuta nikishangaa maana taarifa ni nyie mnazitoa na kuanika, sasa tusishangae habari zenu wenyewe?
Kumbuka hizo taarifa za CAG hakutoa amri ya uchunguzi Suluhu hizo zimefanyika enzi za uhai wa Magu na zingesomwa tu na atua zingechukuliwa tena zingekua kali pengine kuliko hata hizi .sema wewe una Chuki tu na Magu kwani yeye ndio anawaambia waibe ? Yeye cku zote alikua hanaga mchezo na ufisadi au unazan huo uchunguzi kafanya Suluhu?
 
Kumbuka hizo taarifa za CAG hakutoa amri ya uchunguzi Suluhu hizo zimefanyika enzi za uhai wa Magu na zingesomwa tu na atua zingechukuliwa tena zingekua kali pengine kuliko hata hizi .sema wewe una Chuki tu na Magu kwani yeye ndio anawaambia waibe ? Yeye cku zote alikua hanaga mchezo na ufisadi au unazan huo uchunguzi kafanya Suluhu?

Chuki zipi, tunajadili taarifa zenu mnazozianika halafu unaanza kung'aka chuki, hata yule CAG wa kwanza alitumwa na Magu na alianika wizi wa trilioni 1.5 mkamfanyia figisu na kumtupia nje, huyu sasa angeanika huu wizi wa sasa hatujui mngemfanya nini.
Anyway, nimependa style ya huyu mama, kwanza naona kama kafanyiwa mentoring na JK, hata hotuba zake anatumia maneno kama "sisi", "serikali yetu", hivyo ndivyo JK alikua akitumia mara nyingi kuashiria teamwork, sio zle tambo za "serikali yangu" "mimi".
 
Tumekataa kufanya Kazi na Kenya. Hats mjipendekeze namna gani.
 
Hiyo hela mbona ndefu sana, yaani ina maana haya yote yalitendeka chini ya uongozi wa marehemu Magufuli, yule humu mlitupigia makelele namna alivyokua amemaliza ufisadi. Na hapo bado, mama ameamuru ukaguzi ufanywe BOT kila hela iliyotoka humo itolewe maelezo, ina maana madudu yatajitokeza kama yote.
Kwa makelele yote hayo ya marehemu Magufuli na tumbua zote zile bado hela ilikua inapigwa tena ndefu sana, hehehe Afrika bana, ukiingia Youtube hakuna msanii maarufu Tanzania ambaye hakuimba nyimbo za kumsifu Magufuli.

Binafsi namtakia kila la kheri huyu mama, naona sio mwenye majigambo na vijembe, anachimba kimya kimya, na labda kwa mfano wake wengine tunaweza tukaiga kumpigia kura kiongozi mwanamke kwenye mataifa yetu. Sema tu bado hajafanya kikubwa ndio mwanzo, maana hao hapo ameamrisha wakae pembeni uchunguzi ufanywe, hayo tumeyazoea, mpaka pale tutaona watu wananyea debe kwa ufisadi ndio tutakua na uhakika kwamba kuna cha maana kinatendeka.

Tumuombee na kutegemea atahamasisha mahusiano mema, hata body language inaonyesha alivyo mskivu na mkomavu

ExLSbCeVkAMJyHy.jpg
Baada ya Magufuli kufariki watu ndo wakajichotea mahela fasta but kwa vile Magufuli aliweka mifumo ya kueleweka ndio maana imekuwa rahisi mafisadi kukamatwa.
 
Baada ya Magufuli kufariki watu ndo wakajichotea mahela fasta but kwa vile Magufuli aliweka mifumo ya kueleweka ndio maana imekuwa rahisi mafisadi kukamatwa.

Ok maana kwamba huo wizi ulioanikwa na CAG ulitendeka baada ya umauti kumkuta JPM.
 
Back
Top Bottom