Mziki uleule DJ tofauti: Wakenya watamani uongozi wa TZ baada ya Rais Mama Samia kufukuza Mkurugenzi

Hata Samia. Nae akiondoka YATASEMWA.
 
Hata Samia. Nae akiondoka YATASEMWA.

Ndio gharama za kuwa kiongozi, hauwezi ukaongoza watu milioni sitini bila kusemwa na kutukanwa, sasa lazima uonyeshe uvumilivu na ustahimilivu, sio kila anayebweka unamuondolea nje au kumtoa uhai.
Huyu Mama tayari mumeanza kumsema, kwenye uteuzi wake wa juzi wa makamu, kwamba huyo aliyeteuliwa ndiye alikua mratibu wa hazina kipindi hela zinapigwa.
Uongozi ni karama, haipo kwa kila mtu, mfano hai, najifahamu sina hiyo karama, mimi sipendi kusemwa au kushutumiwa, yaani nwaongoze muanze kuongea ongea aidha nitamwaga mboga na ugali vyote kisha niwaachie kila kitu au niwanyooshe nyote kwa mkono wa chuma. Hivyo siku zote huwa nakwepa chochote kinachonihitaji kuongoza binadamu.
 
Mimi sijamsema mtu.
Napambana na hali yangu
 
Kwa hiyo ulitegemea kundi la Pili ambalo lilisema uchaguzi uliibiwa, au wanaosema hakuna kitu kinafanyika Tanzania wamsifie?.



Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Geza Ulole huwa unaibisha sana Watanzania, hupendagi ukweli, unapenda mashindano ya kitoto sana
BTW upotevu huo uligunduliwa chini ya JPM, Majaliwa alipoenda Bandarini! Utakuwa mjinga wa mwisho kuilinganisha Tanzania na Kenya kwenye ufisadi !
Sisi. hatukusema kwetu hakuna ufisadi....Nyinyi mlijidai eti kwenu kusafiiiii ..kumbe ufujaji umekithiri kichini chini
fedha za KEMSA Kshs7.8 bln ni ndogo sana!
 
tsh3 bln ni ela ndogo sana compared to ile $3bln ya covd¹⁹!!
=1mln$ nahisi angekua kenya wangemsamehe na kumcheka kwa kuiba pesa ndogo hivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kulingana na uchumi wa tz ulivyo mdogo...hiyo pesa ya TPA ni hela nyingi sana huko tz. hiyo ni mishahara ya walimu wote wa tz..madaktari na na jeshi....
 
Mathara ya kunywa supu kababe ya kiti-mtu.
Visit bariadi and sumbawanga it's a mecca of sorts to ndanganiass of any caliber of the community.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…