blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Kuna kipindi yaliwahi kutokea maneno kwamba Tanzania tunaitafuta sound yetu, kwamba ngoma ikipigwa tu unajua hii ni Bongo, Tanzania.
Nimepata muda usiku huu kwenda YouTube kuziona trends, guys I'm sorry to say that what is trending down there isn't ours, it's South Africans' Amapiano.
Na sidhani kama hili ni bahati mbaya, lazima kuna push behind. Diamond na Wasafi yake wasipokuwa monitored basi taifa hili litaendelea poteza identity. Ngoma zote, hiyo ya baba level, Zuchu sijui chapati na Naringa, zina sound South Africans' amapiano.
Najiuliza, Wasafi wanalipwa na nani kupoteza utambulisho wetu?
Wimbo mmoja tu wa Jay Dee ndio una sound different, hata sijui kama ndio sound yetu.
Nimepata muda usiku huu kwenda YouTube kuziona trends, guys I'm sorry to say that what is trending down there isn't ours, it's South Africans' Amapiano.
Na sidhani kama hili ni bahati mbaya, lazima kuna push behind. Diamond na Wasafi yake wasipokuwa monitored basi taifa hili litaendelea poteza identity. Ngoma zote, hiyo ya baba level, Zuchu sijui chapati na Naringa, zina sound South Africans' amapiano.
Najiuliza, Wasafi wanalipwa na nani kupoteza utambulisho wetu?
Wimbo mmoja tu wa Jay Dee ndio una sound different, hata sijui kama ndio sound yetu.