Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Hataweza kuivunja.Bora aende england au france kwenye ligi za ulaya, huko ataweza kuvunja rekodi ya samatta kucheza timu kubwa ulaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hataweza kuivunja.Bora aende england au france kwenye ligi za ulaya, huko ataweza kuvunja rekodi ya samatta kucheza timu kubwa ulaya
Mickjr kapost hiyo mkuu. Yanga wamekubaliana na Al Ittihad ya Libya dili la mzize na Aziz japo Aziz kakataa anataka abaki bongo.Chanzo cha habari.
Mbona kama kuna harufu ya kahawa na kashata mh
Haya matango pori inafaa kumsimulia mkeo mkiwa chumbani baada kumdinya..Klabu ya Yanga imewapa taarifa Kwa barua rasmi wachezaji wake wawili Clement Mzize pamoja Aziz ki kuwa watakuwa sokoni mwishoni mwa msimu huu
Mzize mwenye miaka 21 ametakiwa na club ya Wydad ambayo ilituma offer ya billion 2.5 ambapo Yanga ilipuuza offer hiyo
Leo mchana timu ya Al Ahly Tripoli ya Libya imeta offer ya billion 4 na baadaye timu ya Saidia imetuma offer ya billion 5
Mzize pia anahitajika na timu ya Burnley na Olympic Marseille ya France
Kwa mauzo hayo Clement Mzize atakuwa amevunja record ya kuwa mchezaji ghali ukanda huu wa CECAFA
Kweli Eng Hersi ni brain
Wewe unayefinya umecheza timu gani, zaidi ya kula ugali wa bure kwa shemeji yako hapo Dada alipoolewa?Mzize huyu hata kufinya hajua anatazama mbele mda wote
WIVUUU...... ..WIVUUU........Chanzo cha habari.
Mbona kama kuna harufu ya kahawa na kashata mh
Ha hahahaha huyo ndio wanayemuamini?Mickjr kapost hiyo mkuu. Yanga wamekubaliana na Al Ittihad ya Libya dili la mzize na Aziz japo Aziz kakataa anataka abaki bongo.
Tupe chanzoWIVUUU...... ..WIVUUU........
Chai dawa hiiKahawa dawa hii
HahahaaaChai dawa hii
Tangawizi nyingiiiiiii
Hadi ushuzi wake dawa
Hahah. Hao Kibu na Ateba wanafukuzia kiatu cha CAF siyo tu cha ufungaji bora ila pia cha goli bora.Kwani ao wenye mapesa Hawa waoni Kibu au Ateba, wachezaji ambao kugeuka mpaka wakate Kona!!