Mzize kuvunja record ya usajili Kwa wachezaji wa kitanzania

Haya matango pori inafaa kumsimulia mkeo mkiwa chumbani baada kumdinya..
 
Watanzania mnajishusha sana humu...jamaa kaleta habari hamuiamini, lkn habari Hy Hy akiandika mwingine mnaiamini
 
Mzize anayekimbia kama robot???? Halafu huo umri ni ule ule wa kiafrika.
 
Kwani ao wenye mapesa Hawa waoni Kibu au Ateba, wachezaji ambao kugeuka mpaka wakate Kona!!
 
baadaye timu ya "Saidia" imetuma offer ya billion 5.

Source?
 
Kwani ao wenye mapesa Hawa waoni Kibu au Ateba, wachezaji ambao kugeuka mpaka wakate Kona!!
Hahah. Hao Kibu na Ateba wanafukuzia kiatu cha CAF siyo tu cha ufungaji bora ila pia cha goli bora.

Msimu ukiisha mtauza wachezaji wenu wote tena kwa bei ya pilipili hoho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…