Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ya Mzize na Mwaikimba ni umri na rangi.Ni kama laana sijui
Hajafunga toka muda ule
Anaruka ruka uwanjani
Anabaki na kipa anakosa
Uko sahihi kiongozi hata Mike Tyson alipobadili dini akawa unga kweli kweli mpaka Leo amekuwa kama zezetaNi kama laana sijui
Hajafunga toka muda ule
Anaruka ruka uwanjani
Anabaki na kipa anakosa
Hakuna uhusiano kati ya dini ya mtu na kiwango ninachoona ni kawaida tu ya wachezaji wa kibongo Huwa mnapenda kuwapaisha sana ili Hali hamna kitu.Ni kama laana sijui
Hajafunga toka muda ule
Anaruka ruka uwanjani
Anabaki na kipa anakosa
Waache waendelee kuota ndoto mbayakila kitu mnarelate na dini mbona mna inferiority complex enyi wagalatia😂😂
Wewe wasemaHakuna uhusiano kati ya dini ya mtu na kiwango ninachoona ni kawaida tu ya wachezaji wa kibongo Huwa mnapenda kuwapaisha sana ili Hali hamna kitu.
mwakani atajikutabiUko sahihi kiongozi hata Mike Tyson alipobadili dini akawa unga kweli kweli mpaka Leo amekuwa kama zezeta
acha kubinya uhuru wa kuongeaModerator Moderator fungia huu uzi ni wa kichochezi,na kibaguzi haufai......hatutaki udini katika sports
Tyson akawa muisilamu halafu akaanza kulima bangiUko sahihi kiongozi hata Mike Tyson alipobadili dini akawa unga kweli kweli mpaka Leo amekuwa kama zezeta
Siku ile ya kwanza ya mfungo wa ramadhani, yaani chungu cha kwanza 😁Kabdili lini?
Acha upuuzi,wewe umeona nani anaweka post za kucrash dini ya mtu humu?????Wewe wasema
mwakani atajikutabi
acha kubinya uhuru wa kuongea