The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Hapo Kariakoo Wayemen wameshagundua ngozi nyeusi inapenda ngozi nyeupe wanaenda kuokota mabinti choka mbaya huko Yemen kuwaleta bongo kama wafanyakazi wao kisha kuwatumia kama chambo cha kunasa watu kwenye dini.Amedanganywa na Waarabu Mchwara wa GSM dogo kavaa Kobazi na Nyota imeongezewa kwa Mwamnyeto Mtoto wa Buguruni Tanga.
Waha na Wahehe wengi sana wameuingia huo mkenge but huwa wanaishi pamoja miaka mitatu minne wanaachana unashangaa unakutana nao tena kwenye dini zao za mwanzo.