Mzize toka abadili dini kiwango kimeisha

Mzize toka abadili dini kiwango kimeisha

Acha upuuzi,wewe umeona nani anaweka post za kucrash dini ya mtu humu?????

Uhuru usizidi mipaka,sisi ni wamoja usitake tuanze kutofautiana kwa ujinga wako
Swali je amefunga?
Acha woga
Na
Kubinya uhuru
Wa
Kutoa
Maoni
 
Hivi ukija kufahamu kuwa Ukristo ndo ilikuwa sahihi alafu umeshachelewa, sipati picha utalia kilio gani
Hakuna certainty kwenye dini yoyote, nikisema kwenye dini ya Kiislamu watu wanawaua wenzao, utakataa? Tena wanatumia dini ya Kiislamu na wakichinja wanatumia jina Takatifu la "Allah " wakisema "Allah Akbar" je ufapinga?
Usijudge Ukristo ni ushetani kwa kuangalia baadhi ya Wakristo wanafanya nini, maana sio Kila Mkristo ni halisi.
I rest my case.
Christianity is not Satanism.
 
Mzinze Ana nguvu sawa , Ana bidii ya kupambana sawa, anatakiwa apate kocha wa ushambuliaji amfundishe namna ya kutulia na kufungua magoli .
Nabi kazi yake ni kutengeneza mfumo wa timu nzima hana muda wa kufundisha ufungaji
 
Hivi ukija kufahamu kuwa Ukristo ndo ilikuwa sahihi alafu umeshachelewa, sipati picha utalia kilio gani
Hakuna certainty kwenye dini yoyote, nikisema kwenye dini ya Kiislamu watu wanawaua wenzao, utakataa? Tena wanatumia dini ya Kiislamu na wakichinja wanatumia jina Takatifu la "Allah " wakisema "Allah Akbar" je ufapinga?
Usijudge Ukristo ni ushetani kwa kuangalia baadhi ya Wakristo wanafanya nini, maana sio Kila Mkristo ni halisi.
I rest my case.
Christianity is not Satanism.
Bado hoja za kitoto sana yaani bado una utoto eti kutumia jina la Allah😂😂hamna uncertainty kweny dini ...kwani nimesama nn au nimeleta uzi wa wale waliuliwa na wachungaji ?

Mfuata adrew tate akueleze huyp aliyetoa hoja ni mkristo kwamba hata Tate nae kasilimu


Mbona unaongea vitu havipo.!!
 
Bado hoja za kitoto sana yaani bado una utoto eti kutumia jina la Allah😂😂hamna uncertainty kweny dini ...kwani nimesama nn au nimeleta uzi wa wale waliuliwa na wachungaji ?

Mfuata adrew tate akueleze huyp aliyetoa hoja ni mkristo kwamba hata Tate nae kasilimu


Mbona unaongea vitu havipo.!!
Siwezi mfuata Andrew Tate ambaye bado ana kesi ya ubakaji na usafirishaji haramu wa binadamu Romania.
Mimi nitamsikiliza Yesu Kristo tu ambaye hakuwahi kufanya kosa lolote hapa duniani, hakuwahi kuua mtu.
 
Siwezi mfuata Andrew Tate ambaye bado ana kesi ya ubakaji na usafirishaji haramu wa binadamu Romania.
Mimi nitamsikiliza Yesu Kristo tu ambaye hakuwahi kufanya kosa lolote hapa duniani, hakuwahi kuua mtu.
Sasa mbona unakurupuka sana 😂😂 angalia lengo la uzi ...Hao mashetani ukiwa wasaliti lazima wakupe kesi😂🔥ila ukweli ni kwamba huo ni ukafiri
 
Back
Top Bottom