Mzize toka abadili dini kiwango kimeisha

Amedanganywa na Waarabu Mchwara wa GSM dogo kavaa Kobazi na Nyota imeongezewa kwa Mwamnyeto Mtoto wa Buguruni Tanga.
Hapo Kariakoo Wayemen wameshagundua ngozi nyeusi inapenda ngozi nyeupe wanaenda kuokota mabinti choka mbaya huko Yemen kuwaleta bongo kama wafanyakazi wao kisha kuwatumia kama chambo cha kunasa watu kwenye dini.

Waha na Wahehe wengi sana wameuingia huo mkenge but huwa wanaishi pamoja miaka mitatu minne wanaachana unashangaa unakutana nao tena kwenye dini zao za mwanzo.
 
Ndomana mpaka Leo wanadai Michael Jackson alikuwa mvaa kobazi lakini chakushangaza alizikwa kikristu.
 
Wakristo wa Jf ni wajinga na wapumbavu pro max yani kila siku chuki chuki chuki tuuu

Mtahangaika sanaaa chuki zitakuueni izo
 
Una akili za kipumbavu kwani wao wakibadili dini si maisha yao ww inakuhusu nn?
Au wakibadili dini huwa wanakufuata nyumbani kwako kukurazimisha na ww na watoto wako kubadili dini kama wao?

Alafu na ww utakuta ujiita baba.
 

Uko sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…