vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Simjui mchezaji anayeitwa ZuwenaKwahiyo Huyo zuwena wako CAFCL alikuwa hachezi?mbona hatuoni rekodi yoyote nzuri....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simjui mchezaji anayeitwa ZuwenaKwahiyo Huyo zuwena wako CAFCL alikuwa hachezi?mbona hatuoni rekodi yoyote nzuri....
Ongezaaa sautiiiii.Kuna tofauti ya form na class, Ili pakome awe class ya Chama anatakiwa kuyafanya haya Kwa miaka mingi Kama mitano. Binafsi Kwa form ya pakome ya Sasa anamzidi Chama ila still hapaswi kufananishwa na Chama angalau ayafanya haya Kwa miaka kadhaa. Form is temporary na class ni permanent
Sijui wamekuelewa?Chama kaanza vitu vyake enzi zile za Nkana pale kwa Mkapa, akatoka pale akaenda kwa As Vita, wakati huo vyura mnaogelea tu kwenye tope hata CAF CL hamuijui ina rangi gani..
Huyo Pacome wenu wakati huo alikuwa anakunywa uji wa mama yake kwao Ivory Coast.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Chama anang'ara akicheza na timu ndogo au dhaifu, akikaa na vidume anaufyataKuna tofauti ya form na class, Ili pakome awe class ya Chama anatakiwa kuyafanya haya Kwa miaka mingi Kama mitano. Binafsi Kwa form ya pakome ya Sasa anamzidi Chama ila still hapaswi kufananishwa na Chama angalau ayafanya haya Kwa miaka kadhaa. Form is temporary na class ni permanent
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi mko kwa pacome. Hadi mtafika kwa Diarra.Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.
Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.
Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.
Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?
Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.
Ni kumuonea tu Chama.
Mengine yatabaki kuwa ushabiki.
Leta za kwako Mkuu hapa ni kupeana Ukweli. AsanteTakwimu umeweka pale ulipoona patakubeba chura wewe ...
Mtafute Baraka Mpenja atakifafanulia zaidi.
Aongeze sauti mchezaji mwenye class anaishia kucheza Simba hata pekee, hata tetesi za kutakiwa na timu kubwa hakuna. Aisee ushabiki ni tatizoOngezaaa sautiiiii.
Akitakiwa na timu nyingine wewe ndiyo utamkubali?Aongeze sauti mchezaji mwenye class anaishia kucheza Simba hata pekee, hata tetesi za kutakiwa na timu kubwa hakuna. Aisee ushabiki ni tatizo
Wachezaji wazuri huwa wanaonwa na timu zingine uwezo na ubora wake. Sasa mchezaji anaishia kuimbwa na watanzania pekee kila msimu. Usikii tetesi yoyote ya kutakiwa na timu nyingine za nje.Akitakiwa na timu nyingine wewe ndiyo utamkubali?
Sawli hilo aulizwe Messi.Wachezaji wazuri huwa wanaonwa na timu zingine uwezo na ubora wake. Sasa mchezaji anaishia kuimbwa na watanzania pekee kila msimu. Usikii tetesi yoyote ya kutakiwa na timu nyingine za nje.
Unatumia akili nyingi kuwafundisha wapumbavu aisee.Hawana uwezo wa kukuelewa.Ndiyo maana mimi huwa najibu kulingana na upumbavu wanaouandika.Chama ndio mchezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi ya Tanzania tangu kuanzishwa kwake na ndio maana Chama anatumika kama kipimo kwa kila mchezaji atakae jitahidi kucheza vizuri, lakini ukiwa unapenda mpira na una heshimu mpira huwezi kufananisha Chama na vitu vya kijinga kijinga Chama ana dunia yake ya pekee
Pacome mwaka jana ni mchezaji bora wa ivory coast unampaje mdaChama fundi wa mpira.. Ubora wake unadhihirika misimu kadhaa sasa, Pacome ni mchezaji mzuri pia tumpe muda tuone ubora wake ukizingatia ndio msimu wake wa kwanza pale Yanga.
Mchezaji wa mechi ndogo ambaye uarabuni kulimshindaChama ndio mchezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi ya Tanzania tangu kuanzishwa kwake na ndio maana Chama anatumika kama kipimo kwa kila mchezaji atakae jitahidi kucheza vizuri, lakini ukiwa unapenda mpira na una heshimu mpira huwezi kufananisha Chama na vitu vya kijinga kijinga Chama ana dunia yake ya pekee
Labda unamuongelea Chama wa mtaani kwenu, Chama kashawafunga Yanga, kawafunga as vita wakiwa form, kawafunga al ahly mbili wakiwa kwenye form, ndio maana tunasema pakome yupo vizuri ila anapaswa kubakia na kiwango hicho Kwa muda. Sio miez 8 tu tayri anafananishwa na chama.Chama anang'ara akicheza na timu ndogo au dhaifu, akikaa na vidume anaufyata