Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

Chama kaanza vitu vyake enzi zile za Nkana pale kwa Mkapa, akatoka pale akaenda kwa As Vita, wakati huo vyura mnaogelea tu kwenye tope hata CAF CL hamuijui ina rangi gani..

Huyo Pacome wenu wakati huo alikuwa anakunywa uji wa mama yake kwao Ivory Coast.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sijui wamekuelewa?
 
Kuna tofauti ya form na class, Ili pakome awe class ya Chama anatakiwa kuyafanya haya Kwa miaka mingi Kama mitano. Binafsi Kwa form ya pakome ya Sasa anamzidi Chama ila still hapaswi kufananishwa na Chama angalau ayafanya haya Kwa miaka kadhaa. Form is temporary na class ni permanent
Chama anang'ara akicheza na timu ndogo au dhaifu, akikaa na vidume anaufyata
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kumfananisha Pacome na Chama.

Hata mashabiki wenyewe wa simba ukiwaekea kati ya Pacome na Chama wachague mmoja ki uhalisia hawawezi kumchagua Chama.

Pacome kila mechi anapafomu yupo katika kiwango bora kabisa.

Chama baada ya mechi ya jana ndo wanaanza kumfananisha na Pacome, kwanini isiwe mechi za nyuma?

Kwasasa huwezi kumfaninisha Chama na Pacome.

Ni kumuonea tu Chama.

Mengine yatabaki kuwa ushabiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sahivi mko kwa pacome. Hadi mtafika kwa Diarra.
 
Chama anawatesa sana.
Mbona sisi hatuna muda wa kumjadili mchezaji wa utopolo?
 
Ukiangalia takwimu zilizo, unaona kuna mmoja ana muendelezo na mwingine hana muendelezo anapanda na kushuka panda na kushuka. Pacome kawa na muendelezo katika kiwango chake
 
Akitakiwa na timu nyingine wewe ndiyo utamkubali?
Wachezaji wazuri huwa wanaonwa na timu zingine uwezo na ubora wake. Sasa mchezaji anaishia kuimbwa na watanzania pekee kila msimu. Usikii tetesi yoyote ya kutakiwa na timu nyingine za nje.
 
Wachezaji wazuri huwa wanaonwa na timu zingine uwezo na ubora wake. Sasa mchezaji anaishia kuimbwa na watanzania pekee kila msimu. Usikii tetesi yoyote ya kutakiwa na timu nyingine za nje.
Sawli hilo aulizwe Messi.
 
Chama ndio mchezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi ya Tanzania tangu kuanzishwa kwake na ndio maana Chama anatumika kama kipimo kwa kila mchezaji atakae jitahidi kucheza vizuri, lakini ukiwa unapenda mpira na una heshimu mpira huwezi kufananisha Chama na vitu vya kijinga kijinga Chama ana dunia yake ya pekee
 
Chama ndio mchezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi ya Tanzania tangu kuanzishwa kwake na ndio maana Chama anatumika kama kipimo kwa kila mchezaji atakae jitahidi kucheza vizuri, lakini ukiwa unapenda mpira na una heshimu mpira huwezi kufananisha Chama na vitu vya kijinga kijinga Chama ana dunia yake ya pekee
Unatumia akili nyingi kuwafundisha wapumbavu aisee.Hawana uwezo wa kukuelewa.Ndiyo maana mimi huwa najibu kulingana na upumbavu wanaouandika.
 
Chama ndio mchezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi ya Tanzania tangu kuanzishwa kwake na ndio maana Chama anatumika kama kipimo kwa kila mchezaji atakae jitahidi kucheza vizuri, lakini ukiwa unapenda mpira na una heshimu mpira huwezi kufananisha Chama na vitu vya kijinga kijinga Chama ana dunia yake ya pekee
Mchezaji wa mechi ndogo ambaye uarabuni kulimshinda
 
Pacome yeye aendelee kupaka PICO ndo anachokiweza baas
 
Chama anang'ara akicheza na timu ndogo au dhaifu, akikaa na vidume anaufyata
Labda unamuongelea Chama wa mtaani kwenu, Chama kashawafunga Yanga, kawafunga as vita wakiwa form, kawafunga al ahly mbili wakiwa kwenye form, ndio maana tunasema pakome yupo vizuri ila anapaswa kubakia na kiwango hicho Kwa muda. Sio miez 8 tu tayri anafananishwa na chama.
 
Back
Top Bottom