"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Kama kauli yake ni ya kweli mbona ametoroka kikao?

Inshort waje kwenye kikao ama wasije tunafukuza waje kuungana na mataga hapo Lumumba.
 
Huyo siku hizi kapoteza uelekeo, nadhani yuko obsessed na kupata kauteuzi ka kuzeekea nako. Hatuko focused kama zamani.
 
Ila kwa Mdee kazi wanayo. Zitto aliwatikisa , Dr Slaa alijiondoa mwenyewe lakini kwa Mdee na kwa Chadema hii ilivyo disorganised watanyooshwa.

Uongozi ungekutana na hawa wanawake nje ya vikao rasmi ili kujadiliana bila kupasua chama. Bado wote wanahitajiana hakuna haja ya ubabe hasa nyakati hizi.
 
Mbowe anajua misimamo ya akina Lissu lakini pia bila ruzuku ataendesha vipi chama? Hao wapiga kelele wanachangia nguvu tu sio pesa! He is playing very smart.
 
Wewe Paskali nakuambiaga njaa na kujipendekeza ndio vinavyokusumbua. Huna moral authority ya kuzungumzia hili la kina Halima Mdee.

CHADEMA kama chama hakitambui uchaguzi na urudiwe, hivyo viti 19 vya kazi gani? Unata wakubaliane na huo ulaghai ili uchaguzi uhalalishwe? Ubongo wako umekwama sana.
 
Wangeenda na kuiambia CC kuwa Mbowe amewaruhusu ili CC imtake Mbowe ajieleze. Mayalla, hilo la kufukuzwa uanachama wewe umeambiwa na CC? Au na watuhumiwa?
Hawatakiwi kwenda kwa sababu hawatatendewa haki. Tayari ishara za kutokutenda haki zinaonekana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…