Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Pascal mwenyewe ni mwanasheria. Japo alisoma ukubwani lakini hajui sheria.
Huyu ni mpuuzi. Juzi tu walikuwa anakwambia kina mdee watafute kazi nyingine maana hawana nafasi za kuwa wabunge leo wanawashabikia wawe wabunge? Hawa watu wana akili kweli?Ndio maana alikimbia kwenye kazi za sheria maana ni kilaza, akahamia kwenye kazi za wauza sura zisizohitaji akili bali kujipendekeza tu.
Paskal mayala bado anasaka uteuzi kaamua kupitia humo akiamini kamati ya uteuzi itamuonaNaona umeamua kujivua akili kabisa, aliyekwambia wanaenda kufukuzwa ni nani? Wale waliitwa kuhojiwa sio kuvuliwa uanachama, pili kwanini huoji kupatikana kwao kama kulifuata taratibu zote za kichama ila unahoji wao kuitwa tu? Hivi ukiwa CCM lazima kutetea kitu hata kama sio cha haki? Unanajisi taasisi zile zote ulizopitia kielimu.
Huyu ni mpuuzi. Juzi tu walikuwa anakwambia kina mdee watafute kazi nyingine maana hawana nafasi za kuwa wabunge leo wanawashabikia wawe wabunge???? Hawa watu wana akili kweli???
Bora umejitenga mapema kuwa ni wewe binafsi na sio wengi.Historia itakukumbuka kama mwandishi wa habari asiye na busara, hekima wala maadili. Binafsi nitakukumbuka kwa hilo.
Paskal mayala anasaka uteuzi kwa mbinu ya kiwendawazimuPascal what went what?
What went wrong. Mzee sauti yako inakuwa kama ngoma ya kuburudisha mbele za wakwezo
Raia hawajali tena
What went what?
CCM wameanza kuwatumia covid 19 kusaka uteuzi mbalimbali.Halafu anaingia na verified user kisha anatoa michango inayojicontradict. Muhuni mkubwa huyu dingi.
Wafukuzwe juu kwa juu hao tayari ni maadui wa DemokrasiaKama kauli yake ni ya kweli mbona ametoroka kikao?
Inshort waje kwenye kikao ama wasije tunafukuza waje kuungana na mataga hapo Lumumba.