"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

"Mzoea vya kunyonga vya kuchinja Haviwezi". Hongera Halima Mdee na Makamanda wote kwa kugomea wito wa kienyejienyeji

Sometimes ni ngumu sana kushindana na powerful established systems na ukaibuka kidedea kwa kupata matakwa yako yote.

Nelson Mandela alikubali kuwa rais wa bendera na akashindwa kuwa rais wa jamhuri huru ya kiuchumi/fursa sawa za kiuchumi kwa weusi sawia na wanazopata weupe ambao ni wachache.

Hapa CDM washapoteza kete kubwa sana ya msingi wa kutetea kile ambacho walikiamini kabla ya ujio wa EL 2015.
Toka ujio wa EL na wakampokea hapo ndipo MENEMENE TEKEL NA PERESI ilitokea ukutani.

It's a matter of time, CDM wanaingia kwenye kuwa chama cha migogoro kama NCCR, TLP na CUF.

Chama kimepoteza core values na sasa kuna wanaopigania "mkate" huku wafia chama wakikomaa na kwa matamko ya BAVICHA, BAWACHA bila kujua msingi wao kama chama cha siasa cha kutetea maslahi ya wananchi na kuwa na sera mbadala haipo tena.
 
Mzee ishu ya kutokuja sababu inafahamika tangu jana usiku ni baada ya shemasi kusanua hila zao mbovu wakaona bora wasiende tu.
 
Ndio maana alikimbia kwenye kazi za sheria maana ni kilaza, akahamia kwenye kazi za wauza sura zisizohitaji akili bali kujipendekeza tu.
Huyu ni mpuuzi. Juzi tu walikuwa anakwambia kina mdee watafute kazi nyingine maana hawana nafasi za kuwa wabunge leo wanawashabikia wawe wabunge? Hawa watu wana akili kweli?
 
Pascal what went what?

What went wrong. Mzee sauti yako inakuwa kama ngoma ya kuburudisha mbele za wakwezo
Raia hawajali tena.

What went what?
 
Naona umeamua kujivua akili kabisa, aliyekwambia wanaenda kufukuzwa ni nani? Wale waliitwa kuhojiwa sio kuvuliwa uanachama, pili kwanini huoji kupatikana kwao kama kulifuata taratibu zote za kichama ila unahoji wao kuitwa tu? Hivi ukiwa CCM lazima kutetea kitu hata kama sio cha haki? Unanajisi taasisi zile zote ulizopitia kielimu.
Paskal mayala bado anasaka uteuzi kaamua kupitia humo akiamini kamati ya uteuzi itamuona
 
KUTOKA OFISINI KWETU KIGOGO2014

👁️‍🗨️Baada ya kuwapasua na mipango yao ya maandamano kesho, jioni hili li Halima na kundi lake wameshauriwa na TISS kuwa waandike barua kuomba CC ya Chadema ipeleke muda mbele wa kuwasikiliza kwa siku 5 zaidi

👁️‍🗨️Mnyika, hawa dada zako wameshajipanga na TISS kwenda mahakamani jumatatu kuzuia msiwajadili na msiwafukuze mpaka miaka mitano ipite..
👁️‍🗨️Hizi ndizo habari za saa hii ikutoka ofisi ya Diwani na hayo ndiyo waliyoyapanga
👁️‍🗨️ Halima ni boya sana yaani mabarua yote 19 yametumwa mara moja, how come watu wote 19 mna kuwa na excuse moja ya kutokwenda kikaoni

👁️‍🗨️tuliwaambia nyie ni maarufu mkiwa ndani ya Chadema lakini nje ya chadema ninyini kama kima tu..
👁️‍🗨️yaani kikao kesho kiko palepale na ndo mtajua kama chama kina nguvu au hayo maujinga yenu na Diwani ndiyo yana maana
👁️‍🗨️Diwani ni bogus tu hajawahi kuwa smart nyie mnamsikiliza😁

Asa mzee pascal unawaita mataga wenzako makomando.. emb mwachie Lady jaydee tu hilo jina
 
Back
Top Bottom