Kutoa tathmini!Baada ya maandamano what next?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa tathmini!Baada ya maandamano what next?
Ujumbe utafika!Baada ya maandamano ya amani solution itapatikana?
Kutoa tathmini!
Halafu umeandika uongo , mimi siyo Boniface Jackob , na uongo nao umekatazwaNdivyo ilivyo- oh pole; sasa uhuru wa kutoa maoni uko wapi?
Ni tarehe hiyo tuu au ni muendelezo ?Maandamano ni kuleta attention ya suala husika kwa viongozi. Na maandamano yatapokelewa na UN so itaipa attention ya miswada hii kwa jicho la kidiplomasia na kimataifa zaidi.
So about what Next is scrutiny by both the public and international bodies pertaining to electoral regulations and laws.
Chawa huwezi kuona na chawa kama wewe ni mbwa tu wa mafisadi!Sina imani na maandamano kuwa yataleta matokeo chanya.
Hapo ndipo kwangu naona ni kupoteza muda.
UDSM alumni[emoji174]Baada ya maandamano what next?
umejibu kiufundi,kwa nchi zenye demokrasia kuna maana kwa ulichosema ila kwa hizi nchi za maliwato ni kazi bure.Ndio, siasa ni numbers so maandamano yanaonyesha kwamba kwenye hoja husika kuna watu wangapi wanaunga mkono. So wakiwa wengi inaonyesha mass acceptance hivyo swala linapata attention husika.
Na sababu wanasiasa wanategemeq kura, hawapo tayari kuona maelfu wote hao wanawanyima kura, so they'll act accordingly.
tayari ujumbe wanao hata kabla.Ujumbe utafika!
Saa nyingine huyu dogo anakua kama muku..... Anaona kama watu hawaelewi wanachofanyaJe unafahamu maana ya Maandamano ? ungejua maana ya maandamano usingeuliza hili swali
Una imani na mbinu ipi ambayo imekufikisha wapi mpaka sasa kama kilo ya sukari ni 7000 kwa baadhi ya maeneoSijui kwa nini sina imani na mbinu hiyo.
Angalao Sasa tunaelekea kwenye democrasia halisi, Kwa wenzetu waandamanaji husimdikizwa na Polisi wafikishe ujumbe wao, huku tulikuwa bado sana. Rais Samia ataingia kwenye kitabu Cha KUMBUKUMBU kuwa Rais wa kike aliyewezesha demokrasia halisi,arais wa kiume sifahamu woga ulikuwa wa Nini?
UDSM alumni[emoji174]
Sijui kwa nini sina imani na mbinu hiyo.
Mkimaliza kuandamana ndio itakuaje?
Nyie ni wajinga hamna tofauti na wale waandamanaji wa early industrial revolution kule England ambao hamjui adui yenu na hamjui nani wa kumfikishia ujinga wenu.Maandamano ni kuleta attention ya suala husika kwa viongozi. Na maandamano yatapokelewa na UN so itaipa attention ya miswada hii kwa jicho la kidiplomasia na kimataifa zaidi.
So about what Next is scrutiny by both the public and international bodies pertaining to electoral regulations and laws.
Baada ya maandamano ndio utajuaNyie ni wajinga hamna tofauti na wale waandamanaji wa early industrial revolution kule England ambao hamjui adui yenu na hamjui nani wa kumfikishia ujinga wenu.
UN na mambo ya Tzn wapi na wapi? 😁😁
UpuuziBaada ya maandamano ndio utajua