Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Uy uyMagu yuleyule aliyekuwa chawa wa Kagame au Magu mwingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uy uyMagu yuleyule aliyekuwa chawa wa Kagame au Magu mwingine?
Tshisekedi ni mfanyabiashara mkubwa wa madini na Ramaphosa ana migodi DRC, wako likely kuiomba SA zaidi kwa sababu za kimaslahi zaidi ya nchi nyingine yoyote.Ni kwanini Congo isitupe contract sisi Watanzania ili tukalijenge upya jeshi la Congo DRC na tulifunze kuwa na nidhamu ya hali ya juu? Halafu watuachie tuvune Coltan kwa mwaka mmoja tu.
Huyo sanasana angejipendekeza kwa Kagame amuongezee manpower ya wajeda.Uy uy
Halafu wao wanamsingizia Kagame kwamba ana migodi Kongo kumbe ni wao🤔Tshisekedi ni mfanyabiashara mkubwa wa madini na Ramaphosa ana migodi DRC, wako likely kuiomba SA zaidi kwa sababu za kimaslahi zaidi ya nchi nyingine yoyote.
Kwhy anaiogopa Tanzania si ndio?Baada ya pk kuhudhuria mkutano TZ ameamua a switch off kwa mda
Ameona kabisa kuna balaa.Kagame kausoma mchezo!
Aisee 😯Rais wa Rwanda Paul Kagame - ambaye pia ni kamanda mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda - alisema hajui kama wanajeshi wa nchi yake walikuwa nchini DRC
Fact 👍The conflict should not be frozen but it should be resolved categorically ! Freezing of conflict is the wastage of resources. All involved parties should resolve this conflict by any means possible although negotiation is preferred. Anyone pretending is not involved in the conflict should be dealt with as he or she is trying to freeze the conflict. Niongeze nini sasa nieleweke!!!.
Tangu idd amini mpaka mayimayi..haki bado haipatikani!!DRC: 8,000 Mayi-Mayi accused of cannibalism, disarmed in southern Katanga
Format News and Press ReleaseSource
Posted13 Feb 2003Originally published13 Feb 2003
KINSHASA, 13 February (IRIN) - An estimated 8,000 Mayi-Mayi militiamen accused of cannibalism were disarmed last weekend in the Haut Lomami District of southern Katanga Province, the provincial governor, Aime Ngoy Mukena Lusa, told IRIN on Wednesday.
The fighters agreed to lay down their arms on 7 February following negotiations between Ngoy and their leaders in the village of Musau, home of one of the most prominent Mayi-Mayi leaders,
Wahuni wanapika msosi wenye pilipili nyingi,sharti aule na vidonda vyake vya tumboJamaa ameamua kurudisha majeshi nyumbani ili kama uvamizi wa Kigali kutoka SA ukianza vijana wawepo nyumbani,maaana taarifa kamili ni kuwa karibu 75% ya jeshi la Rwanda wapo Goma na msituni
Sasa isiwe sadc kwenda kulinda amani bali iwe vita coz rwanda (m23) wanatumia advantage ya kutoshambuliwa kotokana na slogan ya kulinda amaniWanasitisha mapigano wakati SADF ndio kwanza wanamobolize, kulipiza kisasi cha wanajeshi wake 14 kuuwawa?
Huko Rwanda Kagame amerudisha majeshi yake kuulinda mjiwa Kigali.
Hivi Kagame alifikiri atashambulia tuuu, yeye hashambuliwi?
Wanasitisha mapigano wakati SADF ndio kwanza wanamobolize, kulipiza kisasi cha wanajeshi wake 14 kuuwawa?
Huko Rwanda Kagame amerudisha majeshi yake kuulinda mjiwa Kigali.
Hivi Kagame alifikiri atashambulia tuuu, yeye hashambuliwi?
?"Nasikia"
Warundi hawana ubavu huo, itakua wa TZ au Wasouth wamevishwa magwanda ya jeshi la BurundiWakuu kuna habari kuwa Warundi wanatoa Dozi huko 😁😆
Dogo Kagame na Rwanda ni hamna kitu,ninwepesi kama sufu.Huna jeshi wewe kaua askari wako na wengine kawachakaza wapo ICU wanapumulia mipira na goma ipo mikononi mwake na lakufanya huna huyo ndio Paulo mtaalamu wa vita kamguse uumie