jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,024
- 1,466
Nashangaa hata kwa drone “Kamikaze” I wonder why!!!? Imeshindikana!!!???Kweli kabisa imeshindikana kumuua Kagame?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa hata kwa drone “Kamikaze” I wonder why!!!? Imeshindikana!!!???Kweli kabisa imeshindikana kumuua Kagame?
unaweza kuwa mtego pia, Kagame sio mtu wa kumwamini ana mbinuKama hii habari ni kweli ni jambo la kupongezwa. Tafadhali weka ka picha hata video tuone hawa marehemu wa kinyarwanda. Mbwa kabisa huyu Kagame. Anastahili kunyongwa kama Sadam Hussein.
Mwee! Mbona yeye ndo Amiri jeshi mkuu; YeyeAtasemaje hajui halafu anatoa maelekezo haya:Kagame anaposema hajui kama wanajeshi wake wapo congo anazuga au vipi, inakuaje amiri jeshi mkuu asijue wanajeshi wake walipo? Halafu hao waasi wa congo kusitisha mapigano baada ya kuteka maendo ni kwamba wasifurushwe au wanazuga ili wajipange vema kuteka maeneo mengine zaidi? Hii ni zuga tu
Hakuna gharama yoyote atakae lipa na mkimchokoza atafyeka wengi zaidiNaona Rwanda kanusa kuvamiwa na wanajeshi wa jwtz anajitoa haraka ili tukiingia tuonekane wakorofi!!
Wanajeshi wetu wawili Kagame atalipa gharama kubwa Sana
Huyu jamaa ni tatizo...Baada ya pk kuhudhuria mkutano TZ ameamua a switch off kwa mda
PK amejua jeshi letu na lile la afrika kusini yapo serious ikabidi akunjie mkia makalioniSi walisema wanaelekea Kinshasa,
Wamesahau nini nyuma?
Nabubujikwa na machozi ya furaha nionapo kazi nzuri inayofanywa na jeshi letu tukufuKuna jamaa nilimueleza juzi kuhusu jeshi la Urundi akanibishia mbaya kigezo chake Burundi hawawezi ni masikini sanaa, nikaamua nikae kimnyaaa na burundi yenyewe si unajua ni mtoto wetu pendwa?
Kilochotokea ni kwamba Bongo haina bifu la moja kwa moja na Mrefu ila mrefu ndio ana choko choko kwahiyo Bongo iliamua kumlisha Mrundi data zote,
Basi last born wetu Urundi akakiwasha na akapita na biti mule mule🤣🤣
🤣 acha umbeya!!!(jus kidding )Mkuuu nataman kuelewa vizuri ila sijui niko nyuma ya saa....kunani? Nieleze kidogo
Jeshi la Congo lipo very dis organized..Habari wakuu
Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wanaingia Congo wanateka miji na maeneo yenye utajiri wa dhahabu.
Congo ni kubwa mara 50 ya Rwanda
Je ni kitu gani kinaikwamisha Congo kuivamia Rwanda ili isiendelee kuvuruga amani nchini humo yaani kukabia mbele
Naomba kujuzwa
wakamtoe kwa nguvu huko mashariki mwa congo. Ikiwezekana apigwe mpaka kigali. Anabembelezwa mno mpaka amekuwa jeuriMwee! Mbona yeye ndo Amiri jeshi mkuu; YeyeAtasemaje hajui halafu anatoa maelekezo haya:
"BREAKING: Kagame withdraws troops after SA Allegedly Threatens to Use Long Range Ballistic Missiles, Deploy Navy Seals and Commando Units
President General Kagame has issued an executive order directing all Ruwandan military forces to withdraw from all DRC border towns and regroup in the capital Kigali with immediate effect"
Hiyo ni kuuma na kupuliza - wajinga ndo waliwao.
Ina maana tumepitia kwa mwanetu mpendwa halafu tukafanya tulichofanya? Si mrefuu alisema SADC wakae mbali na DRC?Hicho ni kipigo kutoka JWTZ 😎
JWTZ wakiingia mahali kila kitu kinakuwa sawa 😎Ina maana tumepitia kwa mwanetu mpendwa halafu tukafanya tulichofanya? Si mrefuu alisema SADC wakae mbali na DRC?
Patanisho gani wakati nyoka ameingia ndani? Suluhisho ni huyo nyoka kutoka nje kwanza.Amani ya kweli itapatikana meza ya mazungumzo na siyo uwanja wa vita. Hongera kwa Dr. SAMIA na Dr. RUTO kwa kuandaa mkutano wa kuwapatanisha Tshisekedi na Kagame siku ya Jumamosi hapa Dar
Hilo lipo ila ujue mahesabu mujarabu ni: "mmoja afe kwa ajili ya wengi".wakamtoe kwa nguvu huko mashariki mwa congo. Ikiwezekana apigwe mpaka kigali. Anabembelezwa mno mpaka amekuwa jeuri
Ni kweli. Vijana wa PK hawajaamini kilichotokea. Wanajiuliza na kushangaa Imekuwaje? Lakini ndo imeshakuwa.JWTZ wakiingia mahali kila kitu kinakuwa sawa 😎
Mkuu make your dream come true, unataka nani amuue?Kweli kabisa imeshindikana kumuua Kagame?