Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Dawa ya jipu n kulitumbua litoke otherwise you will face the consequences in future the problem shall be resolved
 
Kuna jamaa nilimueleza juzi kuhusu jeshi la Urundi akanibishia mbaya kigezo chake Burundi hawawezi ni masikini sanaa, nikaamua nikae kimnyaaa na burundi yenyewe si unajua ni mtoto wetu pendwa?

Kilochotokea ni kwamba Bongo haina bifu la moja kwa moja na Mrefu ila mrefu ndio ana choko choko kwahiyo Bongo iliamua kumlisha Mrundi data zote,

Basi last born wetu Urundi akakiwasha na akapita na biti mule mule🤣🤣
Mnapendanga poroja na kujipa umuhum kutwa rais wa burundi analia anasema anaogopa kuvamiwa wewe upo hapa ukiwa wewe mwenyewe ndio chanzo cha habari yako.
 
Jeshi la Congo lipo very dis organized..
Jeshi la Rwanda liko organized.
Congo Hawezi kuvamia Rwanda peke yake na akammudu..
Upo sahihi Mkuu, hata ikitokea leo majeshi ya Kagame yamepigwa na kufurushwa baada ya wiki moja tu majeshi ya Congo yataacha position, yatauza silaha, yatapora na kubaka raia, gongo zitauzwa makambini na kila aina ya uchafu. Jeshi ka Congo ni pasua kichwa.
 
Upo sahihi Mkuu, hata ikitokea leo majeshi ya Kagame yamepigwa na kufurushwa baada ya wiki moja tu majeshi ya Congo yataacha position, yatauza silaha, yatapora na kubaka raia, gongo zitauzwa makambini na kila aina ya uchafu. Jeshi ka Congo ni pasua kichwa.
Baada ya kupata suluhisho kwenye hiki kinachoendelea, Hao majeshi ya Congo watakalishwa chini wapewe mafunzo kama ilivyokuwa kwa Uganda baada ya kumfurusha nduli.
 
Waburundi wamewamaliza. Wamewaua kama nzige jamaa yangu kaniambia.
Ilikuwa waungane na waasi wa Burundi ambao mlima wao upo karibu na Bukavu.
Sasa inasemekana huku ni kwa Wabongo waliosaini SGR ya Uvinza na waburundi na wachina..
Hiyo nimepewa na mtu wa ndani Burundi
Siyo waburundi bali warundi
 
Upo sahihi Mkuu, hata ikitokea leo majeshi ya Kagame yamepigwa na kufurushwa baada ya wiki moja tu majeshi ya Congo yataacha position, yatauza silaha, yatapora na kubaka raia, gongo zitauzwa makambini na kila aina ya uchafu. Jeshi ka Congo ni pasua kichwa.
Nilishapendekeza mahali kuwa Tanzania apewe kandarasi ya kufundisha jeshi la DRC, na wakati wote wa mafunzo Tanzania ndiye adhibiti eneo lote lenye changamoto ya usalama hasa Mashariki ya DRC. Wakiiva hao askari, ndipo waruhusiwe kukabidhiwa nchi.
 
Muungano wa makundi ya waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wametangaza usitishaji mapigano wa kibinadamu kuanzia Jumanne.

Katika taarifa, kundi hilo - linalojumuisha waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda - lilitaja "sababu za kibinadamu" za kusitisha mapigano, baada ya kuteka maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo.


Umoja wa Mataifa umesema takriban watu 900 wameuawa na wengine 2,880 kujeruhiwa katika mapigano ya hivi majuzi katika na karibu na Goma, mji mkubwa wa mashariki mwa DRC, baada ya kutekwa na waasi.

Mataifa ya G7 na EU yamelaani mashambulio hayo kama ukiukaji wa wazi wa uhuru wa DR Congo.

Muungano wa makundi ya waasi - unaojulikana kama Muungano wa Mto Congo - umeshutumu jeshi la Kongo (Congo River Alliance) - kwa kuua watu wakitumia ndege kupiga mabomu maeneo wanayoshikilia.

Pia soma: Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Iliongeza kuwa haina nia ya kunyakua eneo lolote zaidi, licha ya kusema vinginevyo wiki iliyopita, na itashikilia misimamo yake.

Katika taarifa, muungano huo ulisema: "Tunasisitiza dhamira yetu ya kulinda na kutetea raia na nafasi zetu."

Mapigano ya kikanda yameshuhudia mamia ya maelfu ya watu wakihama makazi yao katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita. Tangu kuanza kwa 2025, zaidi ya watu 400,000 wamelazimika kutoka kwa makazi yao, kulingana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi.

Rais wa Rwanda Paul Kagame - ambaye pia ni kamanda mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda - alisema hajui kama wanajeshi wa nchi yake walikuwa nchini DRC

"Kuna mambo mengi sijui. Lakini ukitaka kuniuliza, kuna tatizo nchini Congo linaloihusu Rwanda? Na kwamba Rwanda ingefanya lolote kujilinda? Ningesema 100%," aliiambia CNN siku ya Jumatatu.
Nimeona uzi unaosema wameuliwa wanajeshi wao 600,watu wakasema ni propaganda za south afrika,
sasa kwa taarifa hii,naanza kuiamini ile taarifa ya kuuawa kwa wanajeshi wao.
 
Fuatilia news kiongozi;
Wameamua kujitoa baada ya Rwanda kupigwa mkwala na South Africa kuwa, wasijione wababe kuua askari wake, wasipo ondoka watachakazwa kwa Long Range Ballistic Missiles hadi kigali itabaki magofu

"BREAKING: Kagame withdraws troops after SA Allegedly Threatens to Use Long Range Ballistic Missiles, Deploy Navy Seals and Commando Units
President General Kagame has issued an executive order directing all Ruwandan military forces to withdraw from all DRC border towns and regroup in the capital Kigali with immediate effect"
😂😂😂😂😂😂😂😂

Eti wanajiita waiziraeli🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Africa ni mrundikano wa NYANI.
 
Back
Top Bottom