inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Watutsi wanakujia juu mkuuAu sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watutsi wanakujia juu mkuuAu sio
Huna jeshi wewe umepigika na mji bado wameshikilia hahahaha 🤣🤣🤣🤣DOGO KASOME HUNA AKILI!!!
ISRAELI ILIPOTEZA WANAJESHI KIBAO WALIPOKUWA NA VITA GAZA.SASA HUU UBISHI WA KITOTO UNAOLETA NENDA KALE USHIBE KWANZA UNAONEKANA UNANJAA KIASI KWAMBA AKILI YAKO INAKOSA KUFAHAMU KATIKA VITA HUWA KUNA WANAJESHI LAZIMA WAFE.
Haueleweki.Kukomboa maeneo mpaka gisenyi,kuafijiana,walikaa na nani mezani!?
Ila ndio ukweli ange bananishwa uyo ka nchi kadogo kanasumbua watu kutumia pesa za kodi kuandaa mikutano wakat njia ya utatuzi upo angekuwa magufuli ange pigika uyoWatutsi wanakujia juu mkuu
Nenda kambananisheIla ndio ukweli ange bananishwa uyo ka nchi kadogo kanasumbua watu kutumia pesa za kodi kuandaa mikutano wakat njia ya utatuzi upo angekuwa magufuli ange pigika uyo
Hueleweki ndiyo kiswahili na si hauelewekiHaueleweki.
Kwahiyo umekuwa mwalimu wa kiswahili mara hii😆Hueleweki ndiyo kiswahili na si haueleweki
Mbona una hasira sana vip kakaNenda kambananishe
Nakufundisha mengi, ikiwemo kabila la wanyamwezi,taifa linajua wasumbwa ni miongoni mwa wanyamwezi,wewe mtusi hutaki,watu(wikipedia) wanajua wasumbwa ni sehemu ya wanyamwezi,wewe hutakiKwahiyo umekuwa mwalimu wa kiswahili mara hii😆
Napinga, nataka Rwanda ivamiwe kijeshiNadhani ni maamuzi mazuri.
Nimekuuliza hutaki kunijibu nakuuliza tena JE LUGHA ZA KINYAMWEZI NA KISUMBWA NI LUGHA MOJA?!Nakufundisha mengi, ikiwemo kabila la wanyamwezi,taifa linajua wasumbwa ni miongoni mwa wanyamwezi,wewe mtusi hutaki,watu(wikipedia) wanajua wasumbwa ni sehemu ya wanyamwezi,wewe hutaki
Lile jeshi la congo ni mdebwedo sana. Litasema nini?Je Jeshi la Kongo limeafikiana na kusimamisha mapigano?! Au lenyewe linataka kukomboa maeneo?
Si linasaidiwa na Red Tabara?!Lile jeshi la congo ni mdebwedo sana. Litasema nini?
Akili za kupewa ongeza na za kwako.Si linasaidiwa na Red Tabara?!
Hapana Red Tabara hawawezi kuwasaidia FARDC , Ikumbukwe hawa red Tabara walianzia miaka ya 2015 au 2017 hivi huko Burundi , leo lao la kwanza ilikua kumtoa madarakani Rais Nkuru ,Si linasaidiwa na Red Tabara?!
Asante kwa ufafanuzi Mkuu🙏🏼Hapana Red Tabara hawawezi kuwasaidia FARDC , Ikumbukwe hawa red Tabara walianzia miaka ya 2015 au 2017 hivi huko Burundi , leo lao la kwanza ilikua kumtoa madarakani Rais Nkuru ,
Lakini kwa jicho la ndani pia Red Tabara wana mafungamano na kile kile kikundi cha mtu mrefu , hivyo kwa muktadha huo Red Tabala hawawezi kukaa pamoja na FARDC , Kwa kiasi waasi ambao wako loyal na FARDC labda wale FDLR
Wewe mwehuNimekuuliza hutaki kunijibu nakuuliza tena JE LUGHA ZA KINYAMWEZI NA KISUMBWA NI LUGHA MOJA?!
Usiponijibu nakupuuza rasmi.
Atalipa au amesha lipa na majibu ndio hayo amesimamisha vita kwa sababu za kibinadamNaona Rwanda kanusa kuvamiwa na wanajeshi wa jwtz anajitoa haraka ili tukiingia tuonekane wakorofi!!
Wanajeshi wetu wawili Kagame atalipa gharama kubwa Sana