Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

Fuatilia news kiongozi;
Wameamua kujitoa baada ya Rwanda kupigwa mkwara na South Africa kuwa, wasijione wababe kuua askari wake, wasipo ondoka watachakazwa kwa Long Range Ballistic Missiles hadi kigali itabaki magofu

"BREAKING: Kagame withdraws troops after SA Allegedly Threatens to Use Long Range Ballistic Missiles, Deploy Navy Seals and Commando Units
President General Kagame has issued an executive order directing all Ruwandan military forces to withdraw from all DRC border towns and regroup in the capital Kigali with immediate effect"
Na wewe umeziamini? SA kuna upinzani mkubwa dhidi ya nchi yao kujiingiza kwenye vita wanavyoamini ni kwa maslahi binafsi ya Ramaphosa na investments zake kwenye migodi huko DRC, kumbuka Ramaphosa ni tycoon wa biashara za madini na anamiliki migodi sana ndani ya SA na nje. Wanamstukia sana.
 
Habari wakuu

Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wanaingia Congo wanateka miji na maeneo yenye utajiri wa dhahabu.

Congo ni kubwa mara 50 ya Rwanda

Je ni kitu gani kinaikwamisha Congo kuivamia Rwanda ili isiendelee kuvuruga amani nchini humo yaani kukabia mbele

Naomba kujuzwa
Wacongo ni matutusa, wanaleta usanii wanataka watu wengine wapigane kwa niaba yao. Papaa na vita wapi na wapi, rais wao mwenyewe tapeli yaani hana tofauti na late Mobutu.
 
Baada ya kupata suluhisho kwenye hiki kinachoendelea, Hao majeshi ya Congo watakalishwa chini wapewe mafunzo kama ilivyokuwa kwa Uganda baada ya kumfurusha nduli.
Hayo yaliwezekani enzi za Mchonga, tulikuwa na jeshi kweli si hawa chawa wa bibi wa Kizimkazi.
 
Kuna jamaa nilimueleza juzi kuhusu jeshi la Urundi akanibishia mbaya kigezo chake Burundi hawawezi ni masikini sanaa, nikaamua nikae kimnyaaa na burundi yenyewe si unajua ni mtoto wetu pendwa?

Kilochotokea ni kwamba Bongo haina bifu la moja kwa moja na Mrefu ila mrefu ndio ana choko choko kwahiyo Bongo iliamua kumlisha Mrundi data zote,

Basi last born wetu Urundi akakiwasha na akapita na biti mule mule🤣🤣
Screenshot_20250204-161214.jpg
Screenshot_20250204-161255.jpg
 
Kuna habari kuwa hata Wanamgambo wa Wazalendo walianza kula mizoga ya Wapiganaji waliouwawa kwenye mapigano ya Sake na Goma.

Missing in action wote ujue walishafanywa kitoweo na Wanamgambo wa Wazalendo. Mama ondoa Jw huko hao sio watu.daah!!

Na kitendo cha kuwarudisha Mayi Mayi kwenye mapigano ni kuwaruhusu kuja kula kitoweo.

DRC: 8,000 Mayi-Mayi accused of cannibalism, disarmed in southern Katanga​

Format News and Press ReleaseSource
Posted13 Feb 2003Originally published13 Feb 2003
KINSHASA, 13 February (IRIN) - An estimated 8,000 Mayi-Mayi militiamen accused of cannibalism were disarmed last weekend in the Haut Lomami District of southern Katanga Province, the provincial governor, Aime Ngoy Mukena Lusa, told IRIN on Wednesday.
The fighters agreed to lay down their arms on 7 February following negotiations between Ngoy and their leaders in the village of Musau, home of one of the most prominent Mayi-Mayi leaders,
 
Ukiachana na mambo sijui ya propaganda sijui kitu gani, wewe na akili yako kabisa unaamini South Africa wakiingia kwenye full war watapigwa na Rwanda? Kama akili yako inafanya kazi kweli?
Sio watapigwa washapigika mizoga Yao wameibeba tena sio south Africa na tanzania Kuna mizoga Yao wameichukua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Na wewe umeziamini? SA kuna upinzani mkubwa dhidi ya nchi yao kujiingiza kwenye vita wanavyoamini ni kwa maslahi binafsi ya Ramaphosa na investments zake kwenye migodi huko DRC, kumbuka Ramaphosa ni tycoon wa biashara za madini na anamiliki migodi sana ndani ya SA na nje. Wanamstukia sana.

Sijui kama unaijua South Africa au unaisikia tu kwenye vyombo vya habari, kule ni habari nyingine bosi.
Wako mbele saaaana kwa techonologia na kila kitu kama ulaya. Nchi ya ku compete nao labda Egypt na Nigeria.......
 
Sijui kama unaijua South Africa au unaisikia tu kwenye vyombo vya habari, kule ni habari nyingine bosi.
Wako mbele saaaana kwa techonologia na kila kitu kama ulaya
Zile vurugu zinazotokea pale mara moja moja zisikuchanganye...
Wako mbele wapi wewe washachezea kichapo kutoka Kwa m23 na la kufanya hawana , imebaki kusema wako mbele bila vitendo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom