Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabeberu watamuondoa mda si mrefu akahutubie malaika.. Mark my wordsMalema ana kale kaasili ka ubishi wa kisouth yupo vizuri
Kabisa Nibasi tuWatu wamenyamaza tu aisee, wakifunguka kuhusu uhalifu wazungu wanaoufanya kwa waafrica na waarabu hapatatosha!
Haita SaidiaMabeberu watamuondoa mda si mrefu akahutubie malaika.. Mark my words
Lakin kutwaa viongozi wa kiafrika wako bize kwenda kuwaomba hela plus wanawapa kondom, ARVs bure plus chanjo kibaoKabisa Nibasi tu
kwa mtu anaye jitambua na Kuwaza kwa kina Hao West ni Watu wa hovyo sana
Hakuna usawa kati ya mazuri na mabaya ya wazungu. Usilazimishe vitu ambavyo havipo.Lakin kutwaa viongozi wa kiafrika wako bize kwenda kuwaomba hela plus wanawapa kondom, ARVs bure plus chanjo kibao
Wazungu Wana mazuri Yao na mabaya Yao same ilivyo kwa waafrika
Umewaza kama Mimi CIA,Mossad,MI6 wamepata assignment.Mabeberu watamuondoa mda si mrefu akahutubie malaika.. Mark my words
hatudanganyiki! amerika na nato ndio adui zaidi kwa africa so far ukilinganisha na urusi!Msisahau ni kwa hisani ya watu wa America,, siyo kwa hisani ya watu wa Urusi
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app