Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

Sasa kama mpo na Urusi mbona kwenye kura za baraza la usalama la UN, hamuonyeshi mnasimama wapi?!
Bora hata KENYA, kwenye hili hawajawa wanafiki wamechagua upande, mnaleta janja janja za kipindi cha NAM!!kwani hii ni vita baridi?!!na hata hiyo NAM, kwa sasa ni kama haipo tu, kiongozi gani kutoka NAM, kwa sasa anaweza sema dunia ikashituka?!!
Ni kiongozi gani wa Afrika, leo hii ukimuhoji hadharani atasema yupo upande wa URUSI?!!
Ukimya wakati mwingine huwa ni jibu la kiutu uzima! Mmarekani wako amepewa 'cold shoulder' na WA Africa! Siyo lazima watoke hadharani ndugu! NATO na Marekani kwa unafiki wao waMelikologa wenyewe, kulinywa ni Hali Yao! Unaita waafrica 'wanafiki' seriously 😳!? We unataka unafiki ufanywe na As Marekani na mayo peke Yao TU waafrica wakifanya iwe nongwa? Makubwa haya, how I wish mzee Bob Mugabe angekuwa hai kushuhudia kata funua ya urusi kwa NATO na america yako😹!
 
Afrika hapa ndipo tunachemka, kila baya kuona chanzo ni mzungu, sasa kama wao ndio waliuleta sasa ni miaka karibu 40, mmechukua hatua gani kuumaliza kwani kuenea kwake kunajulikana!!
Toka wazungu wameondoka ni zaidi ya miaka 60, hadi leo maji tu safi na salama, ni mtihani, njaa hao viongozi wamefanya nini hasa la maana!!
Hadi tutapotea kwenye dunia hii kwa akili hizi za kiafrika kuishi bila mzungu ni ngumu sana!!huo ndio ukweli mchungu.
Kwa akili na mawazo yako walikuwa nayo wazee mababu zetu ndio maana Africa ilitawaliwa kwa kuwaamini wazungu na kujidharau wenyewe!
Kwani ni kipi usichokijua juu ya ubaya wa hao wazungu kwa waafrica? Hetu tuambie, unalipwa sh. Ngapi vile sellout!
 

MY TAKE; Kwendako hisani, hurudi hisani. Kuna baadhi ya nchi hapa Afrika hazikujihusisha na ukombozi wowote wa Afrika, wao ndio wapo mstari wa mbele kuunga mkono vikwazo dhidi ya Urusi.

In as much as I like Malema, I'm sorry that we ain't on the same page on this one.
 

MY TAKE; Kwendako hisani, hurudi hisani. Kuna baadhi ya nchi hapa Afrika hazikujihusisha na ukombozi wowote wa Afrika, wao ndio wapo mstari wa mbele kuunga mkono vikwazo dhidi ya Urusi.

Kenya haikusaidiwa na nchi yoyote ya Afrika kujikomboa. Tulipigana na Mabeberu sisi wenyewe na kumuaga damu hadi tukapata uhuru wetu. Kumbuka hii Tanzania ambayo huwa tunaambiwa kwamba ilisaidia nchi zingine kupata uhuru ilipewa uhuru wake bure bila kumwaga damu. Wao walipewa uhuru bila kupigana na mabeberu kama ilivyofanyika hapa Kenya.
 
In as much as I like Malema, I'm sorry that we ain't on the same page on this one.
I agree. Africans should not support the evil things that Russia is doing in Ukraine. How can someone blindly support the atrocities committed by Russia in Ukraine? It is inhuman and immoral to say the least.
 
I agree. Africans should not support the evil things that Russia is doing in Ukraine. How can someone blindly support the atrocities committed by Russia in Ukraine? It is inhuman and immoral to say the least.
Ukraine is an independent sovereign state free to make it's on decision. They have a right to chat their future devoid of any external interference.
 
Kenya haikusaidiwa na nchi yoyote ya Afrika kujikomboa. Tulipigana na Mabeberu sisi wenyewe na kumuaga damu hadi tukapata uhuru wetu. Kumbuka hii Tanzania ambayo huwa tunaambiwa kwamba ilisaidia nchi zingine kupata uhuru ilipewa uhuru wake bure bila kumwaga damu. Wao walipewa uhuru bila kupigana na mabeberu kama ilivyofanyika hapa Kenya.
Nyie mpaka sasa bado hamjapata Uhuru,mna demka tu
 
Huyu malema sasa amekiwasha kweli kweli na sijui itakuwaje, ila ki msingi ameyasema yaliyomo moyoni mwangu! Japo kuwa sifurahii kabisa masahibu wanayoyapata wa 'ukraine' kwa ujuha wa rais wao!

He's right though👏
 
Umewaza kama Mimi CIA,Mossad,MI6 wamepata assignment.
kwa mantiki hii ina maana ili nasi tuwe na nguvu ya uchumi na haki ya kutoa maoni yetu ama kuelezea tunavyo jisikia kama wao wafanyavyo juu yetu tunatakiwa tuwe na vyombo kama hivi ili kama mtu anatishia maslahi yetu huko uzunguni aingiwe na hofu kuwa tuta mshughulikia au siyo?
 
Nyie mpaka sasa bado hamjapata Uhuru,mna demka tu
Hehee!.. Yaani kuunga ama kutounga Urusi mkono ndio kigezo cha kuonyesha nani kapata Uhuru ama bado?.. Isn't that slavery mentality in itself!? 🤣
 
Afrika ni pori la wanyama hivo hata mpige kelele vp tunaona ni kelele za nyani tu. Putin soon atalia kilio cha tetere!
 
Kenya haikusaidiwa na nchi yoyote ya Afrika kujikomboa. Tulipigana na Mabeberu sisi wenyewe na kumuaga damu hadi tukapata uhuru wetu. Kumbuka hii Tanzania ambayo huwa tunaambiwa kwamba ilisaidia nchi zingine kupata uhuru ilipewa uhuru wake bure bila kumwaga damu. Wao walipewa uhuru bila kupigana na mabeberu kama ilivyofanyika hapa Kenya.
Why do you have to involve Tanzania? Inahusika kivipi na details za thread? Na malalamiko yako ya kusaidiwa KENYA toka Tz?. Anyway, ukweli ni kwamba Kenya bado wanatawaliwa na English speaking giants utake usitake.
 
Pesa ya covid anatoa nani?
Budget inafadhiliwa na nani?
Mikopo mingi tunakopeshwa na kudaiwa na nani?
Mitumba mnayovaa inatoka wapi?
Magari used mnayotembelea yanatoka wapi? na anaetoa yupo upande upi?
Internet je?
n.k n.k
automatically, upande wetu unajulikana
 
Mwamba wa Africa alikuwa Gaddafi tu hao wengine wamejaaa mihemko na unafiki tu
 
Back
Top Bottom