Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

Only if the same is relevant and applicable to the topic at hand.

I refrain from double standards and assuming the past is irrelevant when putting, geopolitics in their perspectives.
 
Why kuungana na upande wowote ?

Nadhani cha muhimu mwisho wa siku tunahitaji Balance of Power na kama Ikiwezekana United Nations ndio Iwe na Nguvu sio One Nation Superior na Another Inferior..., Hii imenikumbusha nyimbo ya Bob Marley inspired by Haile Selassie Speech...

Until the philosophy which hold one race superior
And another
Inferior
Is finally
And permanently
Discredited
And abandoned
Everywhere is war
Me say war

That until there no longer
First class and second class citizens of any nation
Until the colour of a man's skin
Is of no more significance than the colour of his eyes
Me say war

That until the basic human rights
Are equally guaranteed to all
Without regard to race
Dis a war

That until that day
The dream of lasting peace
World citizenship
Rule of international morality
Will remain in but a fleeting illusion to be pursued
But never attained
Now everywhere is war - war

And until the ignoble and unhappy regimes
That hold our brothers in Angola
In Mozambique
South Africa
Sub-human bondage
Have been toppled
Utterly destroyed
Well, everywhere is war
Me say war

War in the east
War in the west
War up north
War down south
War - war
Rumours of war
And until that day
The African continent
Will not know peace
We Africans will fight - we find it necessary
And we know we shall win
As we are confident
In the victory​
 
I refrain from double standards and assuming the past is irrelevant when putting, geopolitics in their perspectives.
But you can't make a bad decision now because of the bad past. Experience from history is meant to help rectify the paresent and the future. When the past attrocities were committed, some of us had our own reservation on the same just as we're having the same against Russian invation against Ukraine.
 
Ukimya wakati mwingine huwa ni jibu la kiutu uzima! Mmarekani wako amepewa 'cold shoulder' na WA Africa! Siyo lazima watoke hadharani ndugu! NATO na Marekani kwa unafiki wao waMelikologa wenyewe, kulinywa ni Hali Yao! Unaita waafrica 'wanafiki' seriously [emoji15]!? We unataka unafiki ufanywe na As Marekani na mayo peke Yao TU waafrica wakifanya iwe nongwa? Makubwa haya, how I wish mzee Bob Mugabe angekuwa hai kushuhudia kata funua ya urusi kwa NATO na america yako[emoji81]!

It comes a time when staying silent is protrayed as betrayal
 
Yes, because he's a man of principle and truth..BUT YOUR NOT.
A principle is not a virtue. What matters is the values on which the said principle is anchored on. Even Hitter was principled, but his principles were barbaric and inhuman
 
Huyu mwamba hajawihi kuwapenda ngozi nyeupe hata bungeni anawapaga makavu...
 
Sasa kwanini mnajiita waafrika na mnataka mahusiano ya kibiashara na nchi za kiafrika wakati hakuna hata nchi Moja ya Africa iliyowasaidia?, hivi Kati ya mtu aliyetumia akili na "diplomatic means" kudai uhuru na yule aliyemwaga damu nani mwenye akili zaidi?.

Afrika haopo upande wa NATO, ni nchi chache ambazo zinajulikana kwamba ni wasaliti wa Africa tangu enzi za ukombozi Kama Kenya ndio zinazounga mkono NATO.

Malema ameeleza vizuri unyama uliofanywa na NATO katika nchi mbalimbali zikiwemo nchi za Afrika, lakini hatukusikia kiongozi yeyote wa Kenya kulaani unyama ule, hadi Leo Israel amekataa Palestina kujichagulia na kujitawala, lakini hatusikii vibaraka wakilaani lolote like. Kenya ni sio waafrika na Kamwe AU haiwaamini, ndio sababu Amina Mohamed alikataliwa kuwa mwenyekiti wa AU
Waafrika hao hawakutusaidia kupata uhuru sisi tuwasaidie kwa nini? Wakati Wakenya 50,000 waliuwawa wakati wa ukoloni, waafrika wengine walikuwa wapi kutusaidia? Wacha zako wewe.
 
Mabeberu watamuondoa mda si mrefu akahutubie malaika.. Mark my words

Pale unapomuonea mtu huruma ambay keshajitoa, malema Alisha Sema hajui kwa nini mpaka Leo yupo Hai. A nafikiri Alisha kufa, Sasa yeye Hana shida na hilo, au labda wewe mkewe?
 
Waafrika hao hawakutusaidia kupata uhuru sisi tuwasaidie kwa nini? Wakati Wakenya 50,000 waliuwawa wakati wa ukoloni, waafrika wengine walikuwa wapi kutusaidia? Wacha zako wewe.
joto la jiwe nyie kwa sababu hamkuuwawa na hao mabeberu ndio maana mlikuwa na nyege ya kupigana nao. Sisi hamu ya kupigana nao ilikwisha wakati tulipata uhuru wetu. Tulikuwa tumepoteza watu 50,000 kwenye vita na beberu, hatukuwa na hamu wala kiu ya vita na wao. Kwa hivyo unaweza kuendelea kutuita wasaliti jinsi unavyotaka lakini ukumbuke nyinyi hamkumwaga damu ili kupata uhuru wenu. Nyie sio shujaa kutushinda. Nchi chache sana Afrika zilipigania uhuru wao kwa kumwaga damu na Kenya ni moja wao.
 
Sasa kwanini mnajiita waafrika na mnataka mahusiano ya kibiashara na nchi za kiafrika wakati hakuna hata nchi Moja ya Africa iliyowasaidia?, hivi Kati ya mtu aliyetumia akili na "diplomatic means" kudai uhuru na yule aliyemwaga damu nani mwenye akili zaidi?.

Afrika haopo upande wa NATO, ni nchi chache ambazo zinajulikana kwamba ni wasaliti wa Africa tangu enzi za ukombozi Kama Kenya ndio zinazounga mkono NATO.

Malema ameeleza vizuri unyama uliofanywa na NATO katika nchi mbalimbali zikiwemo nchi za Afrika, lakini hatukusikia kiongozi yeyote wa Kenya kulaani unyama ule, hadi Leo Israel amekataa Palestina kujichagulia na kujitawala, lakini hatusikii vibaraka wakilaani lolote like. Kenya ni sio waafrika na Kamwe AU haiwaamini, ndio sababu Amina Mohamed alikataliwa kuwa mwenyekiti wa AU
Wewe jamaa kwa nini unatetea unyama ambao Russia inafanyia watu innocent ambao hawajafanya kosa lolote? Hivi hata kama una matatizo na Nato hio sio sababu ya kukufanya wewe kusapoti unyama wa Russia.
 
Pale unapomuonea mtu huruma ambay keshajitoa, malema Alisha Sema hajui kwa nini mpaka Leo yupo Hai. A nafikiri Alisha kufa, Sasa yeye Hana shida na hilo, au labda wewe mkewe?
Malema ni Populist anayetumia inshu ya Apartheid Afrika Kusini kujipatia umaarufu. Namfananisha na Kagame au Isarael wanaotumia kivuli Cha Genocide kujipatia Huruma na umaarufu TU kimataifa. Mtu Kama Malema sidhani Kama ana-project hata moja ya kiuchumi na kijamii ili kukuza vipato vya Watu wa S.Afrika nje ya Siasa.
 
Yuko nyuma ya muda japokua historia isisahaulike anadhani Putin atamsaidia baadae aingie madarakani....stupidity
 
Malema ni Populist anayetumia inshu ya Apartheid Afrika Kusini kujipatia umaarufu. Namfananisha na Kagame au Isarael wanaotumia kivuli Cha Genocide kujipatia Huruma na umaarufu TU kimataifa. Mtu Kama Malema sidhani Kama ana-project hata moja ya kiuchumi na kijamii ili kukuza vipato vya Watu wa S.Afrika nje ya Siasa.
Yani kweli wewe huna adabu. Haya
 
Yani kweli wewe huna adabu. Haya
Malema ni mbw*. Hana lolote huyo. Ni zero brain kabisa. Kama alivyosema MTZ 255Dar Malema hajaanzisha mradi hata mmoja wa kuwasaidia hao black South Africans kutoka kwenye lindi la Umasikini. Kazi yake ni kufanya siasa usiku na mchana huku watu wake wanaendelea kutaabika na umasikini.
 
Back
Top Bottom