Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

Julius Malema analeta siasa za mwaka 1960 katika mwaka 2022. Hatafanikiwa kama ambavyo Komredi Mugabe alivyoshindwa na akafa na siasa zake hizo za mwaka 1960.
 
Julius Malema analeta siasa za mwaka 1960 katika mwaka 2022. Hatafanikiwa kama ambavyo Komredi Mugabe alivyoshindwa na akafa na siasa zake hizo za mwaka 1960.
This kind of you people is what we call it "mahaba niue for USA & EU"

Who are you by the way to range boundaries for Malema's talking [emoji848][emoji19]
 
This kind of you people is what we call it "mahaba niue for USA & EU"

Who are you by the way to range boundaries for Malema's talking [emoji848][emoji19]
Have I bounded him? He can talk whatever he wants. But, after talking, what happens next?
 
Lakin kutwaa viongozi wa kiafrika wako bize kwenda kuwaomba hela plus wanawapa kondom, ARVs bure plus chanjo kibao

Wazungu Wana mazuri Yao na mabaya Yao same ilivyo kwa waafrika
Africa haikuwa na shida ya ukimwi mpaka pale hao mabwana zako walipouleta kwa mpango wao muovu wa kupunguza idadi ya watu.
So lazima wawajibikie walichokisababisha. Come on
 
Kiokotee
kimsingi amewajibu wamarekani watukome, wasituchagulie rafiki, siye tupo na urusi kwa kuwa kipindi tuliponyanyaswa kwa ubaguzi wa rangi amerika mliwaunga mkono makaburu lakini warusi walitusaidia kutufundisha na kupigana na ubaguzi wa rangi! Warusi walikuwa upande wetu kipindi ambapo nato na amerika walikuwa kinyume nasi! Waafrica Libya, Syria, Iraki, Afughanstan, palestina walipouawa america na Nato yao hawakulaani badala yake waliruhusu na wao wenyewe walihusika na mauaji hayo! Leo wazungu wenzao wanashughulikiwa ndio wanatulazimisha tuitenge Urusi! Hilo haliwezekani, tupo na urusi ktk hili! Tumechoka na ubabe wenu america na nato yenu na hatuwaogopi! Toeni haraka majeshi yenu yaliyotapakaa africa kama botswana.....!
Sasa kama mpo na Urusi mbona kwenye kura za baraza la usalama la UN, hamuonyeshi mnasimama wapi?!
Bora hata KENYA, kwenye hili hawajawa wanafiki wamechagua upande, mnaleta janja janja za kipindi cha NAM!!kwani hii ni vita baridi?!!na hata hiyo NAM, kwa sasa ni kama haipo tu, kiongozi gani kutoka NAM, kwa sasa anaweza sema dunia ikashituka?!!
Ni kiongozi gani wa Afrika, leo hii ukimuhoji hadharani atasema yupo upande wa URUSI?!!
 
Africa haikuwa na shida ya ukimwi mpaka pale hao mabwana zako walipouleta kwa mpango wao muovu wa kupunguza idadi ya watu.
So lazima wawajibikie walichokisababisha. Come on
Afrika hapa ndipo tunachemka, kila baya kuona chanzo ni mzungu, sasa kama wao ndio waliuleta sasa ni miaka karibu 40, mmechukua hatua gani kuumaliza kwani kuenea kwake kunajulikana!!
Toka wazungu wameondoka ni zaidi ya miaka 60, hadi leo maji tu safi na salama, ni mtihani, njaa hao viongozi wamefanya nini hasa la maana!!
Hadi tutapotea kwenye dunia hii kwa akili hizi za kiafrika kuishi bila mzungu ni ngumu sana!!huo ndio ukweli mchungu.
 
IMG_20220321_233903_968.jpg

Sure Juju
Nalog off
 
Kenya yaungana na NATO

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
M
Afrika hapa ndipo tunachemka, kila baya kuona chanzo ni mzungu, sasa kama wao ndio waliuleta sasa ni miaka karibu 40, mmechukua hatua gani kuumaliza kwani kuenea kwake kunajulikana!!
Toka wazungu wameondoka ni zaidi ya miaka 60, hadi leo maji tu safi na salama, ni mtihani, njaa hao viongozi wamefanya nini hasa la maana!!
Hadi tutapotea kwenye dunia hii kwa akili hizi za kiafrika kuishi bila mzungu ni ngumu sana!!huo ndio ukweli mchungu.
Mkuu hata vyoo tu tumeshndwa jichimbia...mpk Marie stoppe foundation atoke German aje kutuchimbia...what a shame
 
Back
Top Bottom