Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

Mzozo wa Ukraine: Julius Malema ataka Waafrika kuungana na Urusi

CIC Malema arudi akasome historia ya ukweli kabla ya Kuja na mhemko huu,tuelewe Ukraine kipindi hicho ilikua sehemu ya USSR, means hawa freedom fighters wa kiafrika walisoma, walisaidiwa na wana ukraine ndani ya ukraine ya sasa, facts hii tusiisahau kabisa na hatuwezi eti now tuitenganishe na soviet. Halafu CIC Malema anachochea xenophobic ndani ya SA hili hatulioni, kumbuka alifanya ziara eti kukagua non South africans walioajiriwa kwenye restaurants alizotembelea
 
Huyu malema sasa amekiwasha kweli kweli na sijui itakuwaje, ila ki msingi ameyasema yaliyomo moyoni mwangu! Japo kuwa sifurahii kabisa masahibu wanayoyapata wa 'ukraine' kwa ujuha wa rais wao!
Kasaidia kwa faida yake sio yako[emoji45][emoji12]
 
Kenya haikusaidiwa na nchi yoyote ya Afrika kujikomboa. Tulipigana na Mabeberu sisi wenyewe na kumuaga damu hadi tukapata uhuru wetu. Kumbuka hii Tanzania ambayo huwa tunaambiwa kwamba ilisaidia nchi zingine kupata uhuru ilipewa uhuru wake bure bila kumwaga damu. Wao walipewa uhuru bila kupigana na mabeberu kama ilivyofanyika hapa Kenya.
Hiyo kauli tz hawakupignia uhuru sio sahihi japo ndio kauli inayohit, wazee wetu walipignia uhuru vita vya majimaji lakin kutokana na propaganda leo hii ikapikwa na kubezwa wale wazee eti walikuwa wanatumia uchawi wa maji kupigana jambo ambalo undani wake umefichwa
 
hatudanganyiki! amerika na nato ndio adui zaidi kwa africa so far ukilinganisha na urusi!
Na hapo unatumia simu yenye Android au Mac iOS alafu kutwaa kuwaponda wazungu, vitu vyao unatumia alafu kutwaa kuwaponda waafrika tutaacha unafki lini
 
Someone said,”People don’t respect us anymore (Americans)”- Mtangazaji sijui wa Fox News yule hahah
 
Mabeberu watamuondoa mda si mrefu akahutubie malaika.. Mark my words
Nahisi Tanzania tungekuwa sisi ndio ile South Africa ya kina Mandela basi hadi leo tungekuwa chini ya Apartheid Policy. Sisi tumejawa na woga kuwa nikisema hivi nitafungwa au wataniua.
Kumbuka Mandela katika harakati zake alijua wanaweza kumuondoa lakini hakujali.
Hivyo hata huyo Malema anajua sana tu.

Mimi na wewe ambao niwakujikunyata kwa woga tuendelee hivihivi
 
Africa haikuwa na shida ya ukimwi mpaka pale hao mabwana zako walipouleta kwa mpango wao muovu wa kupunguza idadi ya watu.
So lazima wawajibikie walichokisababisha. Come on

Hawa mabeberu ndio watengenezaji wakubwa wa magonjwa Africa na duniani afu wanajidai wanatupa misaada huku wakibeba rasilimali zetu,,,ile barua kuhusu zile bio weapons zilizopo Ukraine warusi washazisoma huko na nyingine wanaendelea nazo hatar sana mambo wanayofanya Kwenye hizo maabara zao.
 
Julius Malema analeta siasa za mwaka 1960 katika mwaka 2022. Hatafanikiwa kama ambavyo Komredi Mugabe alivyoshindwa na akafa na siasa zake hizo za mwaka 1960.
Maskini waafrica sisi jamani, na wengi waliopo ndio wa akili kama hizi. Muafrica mwenzako anazungumzia bila woga concern yake ya kuwathamini waliowathamini nyakati zile za mateso na kuwakosoa waliosaidia kukandamizwa kwao, halafu wewe unakuja na hoja za kudhihaki alichoongea Malema.

Nadhani wewe upo radhi kumdhihaki jirani aliyekuuguza ukiumwa jeraha baya na utamthamini jirani mwingine aliyekuletea hilo jeraha.

Na hii ndiyo hali halisi ya sisi watu weusi. Very inferior(mind).
 
Kenya ni kibaraka wa Uingereza na Marekani. Ila Odinga siyo mshirika wao sana, nahisi hapo ni siasa tu.
KPU chama pinzani Kenya wakati huo chini ya Jaramogi Oginga Odinga walipata misaada mingi kutoka Russia ikiwepo kujengewa hospitali maarufu huko Kenya
 
Kenya haikusaidiwa na nchi yoyote ya Afrika kujikomboa. Tulipigana na Mabeberu sisi wenyewe na kumuaga damu hadi tukapata uhuru wetu. Kumbuka hii Tanzania ambayo huwa tunaambiwa kwamba ilisaidia nchi zingine kupata uhuru ilipewa uhuru wake bure bila kumwaga damu. Wao walipewa uhuru bila kupigana na mabeberu kama ilivyofanyika hapa Kenya.
Sasa kwanini mnajiita waafrika na mnataka mahusiano ya kibiashara na nchi za kiafrika wakati hakuna hata nchi Moja ya Africa iliyowasaidia?, hivi Kati ya mtu aliyetumia akili na "diplomatic means" kudai uhuru na yule aliyemwaga damu nani mwenye akili zaidi?.

Afrika haopo upande wa NATO, ni nchi chache ambazo zinajulikana kwamba ni wasaliti wa Africa tangu enzi za ukombozi Kama Kenya ndio zinazounga mkono NATO.

Malema ameeleza vizuri unyama uliofanywa na NATO katika nchi mbalimbali zikiwemo nchi za Afrika, lakini hatukusikia kiongozi yeyote wa Kenya kulaani unyama ule, hadi Leo Israel amekataa Palestina kujichagulia na kujitawala, lakini hatusikii vibaraka wakilaani lolote like. Kenya ni sio waafrika na Kamwe AU haiwaamini, ndio sababu Amina Mohamed alikataliwa kuwa mwenyekiti wa AU
 
CIC Malema arudi akasome historia ya ukweli kabla ya Kuja na mhemko huu,tuelewe Ukraine kipindi hicho ilikua sehemu ya USSR, means hawa freedom fighters wa kiafrika walisoma, walisaidiwa na wana ukraine ndani ya ukraine ya sasa, facts hii tusiisahau kabisa na hatuwezi eti now tuitenganishe na soviet. Halafu CIC Malema anachochea xenophobic ndani ya SA hili hatulioni, kumbuka alifanya ziara eti kukagua non South africans walioajiriwa kwenye restaurants alizotembelea
We ndio ukasome
 
Kiokotee

Kimsingi amewajibu wamarekani watukome, wasituchagulie rafiki, siye tupo na urusi kwa kuwa kipindi tuliponyanyaswa kwa ubaguzi wa rangi amerika mliwaunga mkono makaburu lakini warusi walitusaidia kutufundisha na kupigana na ubaguzi wa rangi! Warusi walikuwa upande wetu kipindi ambapo nato na amerika walikuwa kinyume nasi!

Waafrica Libya, Syria, Iraki, Afughanstan, palestina walipouawa America na NATO yao hawakulaani badala yake waliruhusu na wao wenyewe walihusika na mauaji hayo! Leo wazungu wenzao wanashughulikiwa ndio wanatulazimisha tuitenge Urusi! Hilo haliwezekani, tupo na urusi ktk hili! Tumechoka na ubabe wenu america na nato yenu na hatuwaogopi! Toeni haraka majeshi yenu yaliyotapakaa africa kama Botswana!
Dah! Ahsante,Amenifungulia njia sasa mwache Us alazimishe tuchague.
 
Safi sana Ila Ipo mijitu ya Imetulia Kibera kutwa Amerika Matumwa Ya Uhuru na Hakizao
Inahitaji uwe mzalendo wa kweli kuikataa Us,Hata enzi ya Utumwa kulikuwa na watu wanaitwa Vibaraka labda wafe wao ndio watakuwa na Uchungu.
 
Back
Top Bottom