Mzozo wa Urusi na Ukraine wafukuta zaidi

Mzozo wa Urusi na Ukraine wafukuta zaidi

Ilo eneo tu la Warusi ni silaha tosha kabisa kwenye vita
888dfbad84f3f490c2b54204a48be09a.jpg
 
Kinachoilinda Urusi ni Kuwa na akiba ya Makombora ya nyuklia Kama ilivyo Korea Kaskazini. Bila Makombora ya Nyuklia ambayo Urusi hutishia kuyatumia pale ambapo anaona NATO wakiwa Serious Sana,Bila NUCLEAR WEAPONS Urusi hawezi kupigana Hata na MAREKANI Acha NATO.
Upo sahihi kabisa na njia pekee ya Marekani/EU kuizuia Urusi kuivuruga zaidi Ukraine au kuyavuruga mataifa ya Baltic ni vikwazo vikali vya kiuchumi vitakavyolenga sekta muhimu kwa uchumi wa Urusi yaani mafuta na gesi.
 
Upo sahihi kabisa na njia pekee ya Marekani/EU kuizuia Urusi kuivuruga zaidi Ukraine au kuyavuruga mataifa ya Baltic ni vikwazo vikali vya kiuchumi vitakavyolenga sekta muhimu kwa uchumi wa Urusi yaani mafuta na gesi.
Hapana hiyo haitoshi. Njia pekee ya Kuizuia Urusi kuivamia Ukraine Ni Marekani kuacha unafiki na Undumilakuwili na kuamua kuipa Ukraine Makombora 10 ya Nuclear ya Masafa ya Kati na kuyaweka pale KIEV Kama ilivyofanya Uchina kwa Kuipa Korea Kaskazini Makombora ya Nuclear na Wanasayansi wa Mitambo hiyo na Mpaka Sasa North Korea anaivimbia USA.

Siku Makombora ya Nyuklia yakitua pale KIEV hata 10 tu na Ukraine akatest Moja hapo ndipo Ubabe wa Urus dhidi ya Ukraine utaisha.

Hiki ndicho kilichotokea CUBA wakati wa Vita baridi. Isingelikuwa uwepo wa Makombora ya Nyuklia kule HAVANA ambayo yalipelekwa na USSR wakati vya Vita baridi,CUBA ingelitandikwa vibaya Sana na USA.

Vikwazo haviwezi kuidhoofisha Urusi Kijeshi Bali Kiuchumi,na hayo Ni Matokeo ya Mda mrefu sana ambayo hayataathiri Nia Ovu ya Urus kuivamia Ukraine Kijeshi.
 
Hapana hiyo haitoshi. Njia pekee ya Kuizuia Urusi kuivamia Ukraine Ni Marekani kuacha unafiki na Undumilakuwili na kuamua kuipa Ukraine Makombora 10 ya Nuclear ya Masafa ya Kati na kuyaweka pale KIEV Kama ilivyofanya Uchina kwa Kuipa Korea Kaskazini Makombora ya Nuclear na Wanasayansi wa Mitambo hiyo na Mpaka Sasa North Korea anaivimbia USA.

Siku Makombora ya Nyuklia yakitua pale KIEV hata 10 tu na Ukraine akatest Moja hapo ndipo Ubabe wa Urus dhidi ya Ukraine utaisha.

Hiki ndicho kilichotokea CUBA wakati wa Vita baridi. Isingelikuwa uwepo wa Makombora ya Nyuklia kule HAVANA ambayo yalipelekwa na USSR wakati vya Vita baridi,CUBA ingelitandikwa vibaya Sana na USA.

Vikwazo haviwezi kuidhoofisha Urusi Kijeshi Bali Kiuchumi,na hayo Ni Matokeo ya Mda mrefu sana ambayo hayataathiri Nia Ovu ya Urus kuivamia Ukraine Kijeshi.
Hicho kitu Russia hatoruhusu kitokee. Ndiyo maana ameomba pawepo na "security guarantee" kati yake na magharibi
 
Hicho kitu Russia hatoruhusu kitokee. Ndiyo maana ameomba pawepo na "security guarantee" kati yake na magharibi
Kwani wakati wa Kuyapeleka hayo Makombora wanakwenda kumtaarifu Urusi? Yeye atashangaa tayari Ukraine Ni NUCLEAR POWER Tena anatest Makombora 3 Baharini na kutishia endapo Urusi itaivamia Basi Wajiandae Kuangamiza miji yao 10 kabla ya Kuiangamiza Ukraine. Ni Kama Korea Kaskazini yeye aliweka wazi kwamba Hana Ubavu wa kuisambaratisha Marekani,Lakini endapo Akivamiwa ataanza kusambaratisha Miji ya SOUL na TOKYO na kambi za Jeshi la Marekani kule GUAM. Marekani alipo Calculate akaona hasara za kuivamia North Korea Ni Kubwa kuliko Faida za Kuiacha. Na Sasa North Korea inadunda.

Ukraine bila NUCLEAR WEAPONS hawezi kufukuta Mbele ya Urus hata siku Moja. Ndio maana Urus anahakikisha Ukraine inatawaliwa na vibaraka wa Moscow ili wasije kupata wazo la kutengeneza NUCLEAR WEAPONS wakawa kaa la Moto kwa Usalama wa Urus Kama Mpango wa Nyuklia wa Iran ulivyo kaa la Moto kwa Israel na Marekani.
 
Hitler bila mrusi angeshatawala ulaya yote.........jamaa aliwatuliza wote si Muingereza wala mfaransa ila akaharibu alipokichafua na mrusi....na ndo ukawa mwisho wa Hitler
Mzee ni kwamba mrusi peke yake asingemuweza Hitler,mrusi ilikuwa ni moja ya fronts nyingi zilizokuwepo. Tatizo LA Hitler alipigana na mataifa mengi sn kwa wakati mmoja. Kwahiyo vikosi vyake vilishindwa kuhimili na kujikuta Viki surrender!
 
Mzee ni kwamba mrusi peke yake asingemuweza Hitler,mrusi ilikuwa ni moja ya fronts nyingi zilizokuwepo. Tatizo LA Hitler alipigana na mataifa mengi sn kwa wakati mmoja. Kwahiyo vikosi vyake vilishindwa kuhimili na kujikuta Viki surrender!
Mwanzo wa vita Hitler hakua na shida na urusi tena walikua marafiki.....Hitler kaenda kwa mrusi baada ya kuona kamalizana na hao wengine........shida ni kwamba alimu underestimate sana mrusi alijua ni kama hizo nchi nyingine alizopiga............kosa kama hilo NATO hawawezi kulirudia ndo maana zinakua ngonjera nyingi tu kila siku na hawamfanyi kitu
 
Hapana hiyo haitoshi. Njia pekee ya Kuizuia Urusi kuivamia Ukraine Ni Marekani kuacha unafiki na Undumilakuwili na kuamua kuipa Ukraine Makombora 10 ya Nuclear ya Masafa ya Kati na kuyaweka pale KIEV Kama ilivyofanya Uchina kwa Kuipa Korea Kaskazini Makombora ya Nuclear na Wanasayansi wa Mitambo hiyo na Mpaka Sasa North Korea anaivimbia USA.

Siku Makombora ya Nyuklia yakitua pale KIEV hata 10 tu na Ukraine akatest Moja hapo ndipo Ubabe wa Urus dhidi ya Ukraine utaisha.

Hiki ndicho kilichotokea CUBA wakati wa Vita baridi. Isingelikuwa uwepo wa Makombora ya Nyuklia kule HAVANA ambayo yalipelekwa na USSR wakati vya Vita baridi,CUBA ingelitandikwa vibaya Sana na USA.

Vikwazo haviwezi kuidhoofisha Urusi Kijeshi Bali Kiuchumi,na hayo Ni Matokeo ya Mda mrefu sana ambayo hayataathiri Nia Ovu ya Urus kuivamia Ukraine Kijeshi.
Ukraine goes nuclear wakisaidiwa na US, mhh! Ungefuatilia kwanza kwanini Ukraine alikuwa na miundombinu yote ya ku deliver nuclear weapons popote kuanzia bombers kama TU-160 ila leo hana hata moja utajua NATO na US wanamsumbuaga tu Urusi ila kuna mistari hua hawawezi kuvuka
 
Hizo ni proxy wars tu kuachana nayo na kufocus sehem 1 ni rahisi sana kama mmarekani alivyojitoa afganistan na kipindi kile somalia........uzuri wa sasa mrusi hapambani na hao jamaa peke yake , wapo na mchina ,Iran..........hio ya kuharibu uchumi kwa sasa ni ngumu iliwezekana kipindi cha vita baridi maana Mrusi alikua peke yake ndo mwenye uwezo akipambana na hao wamagharibi kwa sasa mchezo umebadilika usimsahau na mturuki pia japo hajaeleweka anaegemea wapi
Uturuki si ipo NATO.
 
Putin ni mbabe kiuhalisia....EU na US wanalia lia tuu
Hana ubabe wowote kama anao ubabe aruhusu uchaguzi huru nyumbani Kwake!!?
Mtu anaogopa Mawazo huru ya wananchi wake,ataweza kupambana na majeshi ya magharibi,UK,US,na Israel!?
 
Hana ubabe wowote kama anao ubabe aruhusu uchaguzi huru nyumbani Kwake!!?
Mtu anaogopa Mawazo huru ya wananchi wake,ataweza kupambana na majeshi ya magharibi,UK,US,na Israel!?
Hata Joe Biden ushindi wake una maswali mengi sana . Tukija kwenye hoja ya uhuru, hivi ni Nchi gani haiogopi mawazo huru ya wananchi? Utofauti kati ya Urusi na Marekani ni kwamba kwa Marekani wana vyombo vikubwa vya habari ambavyo vinatumika na serikali kutoa habari wanazotaka zisikike na kuwapumbaza raia wao wafikiri kile serikali inachotaka. Urusi hana huo uwezo ndomaana wanatumia nguvu saa nyingine.

Trump kapigwa ban Twitter, snowden yupo Urusi, Assange ambae ni mwanahabari bora wa karne amewekwa ndani na Marekani kwa kuripoti maovu yao, hata Youtube na Twitter ukiwa unaongea mada ngumu za kuponda serikali channel au akaunti yako inafungwa au haipewi promo. Huo uhuru unaosema upo wapi?
 
Kwani wakati wa Kuyapeleka hayo Makombora wanakwenda kumtaarifu Urusi? Yeye atashangaa tayari Ukraine Ni NUCLEAR POWER Tena anatest Makombora 3 Baharini na kutishia endapo Urusi itaivamia Basi Wajiandae Kuangamiza miji yao 10 kabla ya Kuiangamiza Ukraine. Ni Kama Korea Kaskazini yeye aliweka wazi kwamba Hana Ubavu wa kuisambaratisha Marekani,Lakini endapo Akivamiwa ataanza kusambaratisha Miji ya SOUL na TOKYO na kambi za Jeshi la Marekani kule GUAM. Marekani alipo Calculate akaona hasara za kuivamia North Korea Ni Kubwa kuliko Faida za Kuiacha. Na Sasa North Korea inadunda.

Ukraine bila NUCLEAR WEAPONS hawezi kufukuta Mbele ya Urus hata siku Moja. Ndio maana Urus anahakikisha Ukraine inatawaliwa na vibaraka wa Moscow ili wasije kupata wazo la kutengeneza NUCLEAR WEAPONS wakawa kaa la Moto kwa Usalama wa Urus Kama Mpango wa Nyuklia wa Iran ulivyo kaa la Moto kwa Israel na Marekani.
Inaelekea wewe bado ni mchanga wa masuala haya
 
Hana ubabe wowote kama anao ubabe aruhusu uchaguzi huru nyumbani Kwake!!?
Mtu anaogopa Mawazo huru ya wananchi wake,ataweza kupambana na majeshi ya magharibi,UK,US,na Israel!?
mawazo huru unayajua wewe yeye ndio kaamua taifa lake lifuate mfumo wanaouona ndio sahihi
wao wanangoja nn wapambane nae kama hana ubabe wowote

Sent from my SM-J5108 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom