Mzuka wa ushangiliaji wa Kocha Robertinho haukuanzia hapa Simba; alikuwa hivyo toka anacheza mpira wa miguu kwao nchini Brazil

Mzuka wa ushangiliaji wa Kocha Robertinho haukuanzia hapa Simba; alikuwa hivyo toka anacheza mpira wa miguu kwao nchini Brazil

Ata Juma Mgunda alikua mchezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania pia ali isaidia costal union kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara na alikua mmoja ya washambuliaji hatari katika mashindano ya vilabu Africa mashariki na kati 1989 (CECAFA) mashindano yaliyofanyika Kenya.

Alifanikiwa kuipeleka Costa final katika mashindano hayo japo katika fainali walifungwa na Kenya Breweries.

Lakini Mgunda Hana Mbwembwe za Robertinyo.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Utafananisha ligi kuu ya serie A nchini brazil miaka ya 80 dhidi ya huu utopolo wa TPL? Brazil ambayo ilikuwa na kizazi bora cha mpira mara baada ya kile cha kina pele... Unazungumzia vipaji kama kina romario,zico,socrates,gerson,robertinho, marco antonio ,bebeto na wengineo
 
Utafananisha ligi kuu ya serie A nchini brazil miaka ya 80 dhidi ya huu utopolo wa TPL? Brazil ambayo ilikuwa na kizazi bora cha mpira mara baada ya kile cha kina pele... Unazungumzia vipaji kama kina romario,zico,socrates,gerson,robertinho, marco antonio ,bebeto na wengineo
Kwasasa stutus Yao ni mmoja, Wachezaji wa zamani na Wana Leseni ya Aina mmoja ya ukocha.
 
How about experience? Tafuta profiles zao halafu uje ucomment tena
Experience tunaiona uwanjani, Timu alivyokuwanayo Mgunda mechi za Domestic na Kimataifa na timu alivyokabidhiwa Robertinyo Sasa unataka Experience gani na Mashabiki wa Simba wanajua nani Bora zaidi ya mwenzake Kwa upande wa mbinu.

Mimi sio Simba ila Simba naishi nao mitaani na tunasikia maoni Yao.
 
Back
Top Bottom