Utafananisha ligi kuu ya serie A nchini brazil miaka ya 80 dhidi ya huu utopolo wa TPL? Brazil ambayo ilikuwa na kizazi bora cha mpira mara baada ya kile cha kina pele... Unazungumzia vipaji kama kina romario,zico,socrates,gerson,robertinho, marco antonio ,bebeto na wengineo