Mzumbe Sekondari

Mzumbe Sekondari

haaaaaa.. wazumbe noma, baadae watadai mpishi awe na phd
Ha haa! Unakumbuka Wakati Waku Move Usiku Ukimuamsha Mdau Unashangaa Ananena Kilugha Unkownwingly. Kuna Mdau Mmoja Alipigwa Ngumi Katika Jitìhada Za Kumuasha Mdau. Mwingine Akiamshwa Anaenda Kukojoa Afu Anarudi Kupiga Mbonji. Ha haaa...!
 
DAAH MWL MINJA MKEWE ALIKUWA NI MDOGO WAKE MWL BITWARE DAAH PICHA ZILIKUWA HAZISOMI NA KUNA KIPINDI WAKAWAZUSHIA KESI MADENT AKINA MWARABU NA RAFIKI ZAKE NGINGITE WALIHISI WANAMENDEA MDOGO WA TICHA BITWARE DAAH HIYO NI 1996
 
hahaaa, mimi sikusoma mzumbe secondary, ila nimesoma Mzumbe chuo, sekondari nimesoma ilboru form 1 hadi 6, nimevutiwa na hii thread kwa kuwa kipindi kile mzumbe na ilboru tulikua wapinzani wa jadi, enzi shule za vipaji zikiwa ndio vinara kwenye matokeo ya form 4 na 6 kabla private hawaja take over,
ile obsession na rivalry kati ya school hizi nimeimiss kweli, kibaha nao walikuwepo.
ila naona kama serikali imeshindwa kuzi update ili kuendana na ukisasa wa shule za sasa hivi zinazofanya vizuri,

maabara za kizamani na majengo yamechakaa, miundombinu za maji pia ni shida
mara ya mwisho kwenda ilboru naona wamejitahidi kwenye majengo kukarabati ila mzumbe bado,
sasa hivi ni kama watoto wa masikini ndio wanaosoma pale sababu ya mazingira mabovu, hakuna ile pride ya zamani tena.. inasikitisha
 
Ni Kweli Mkuu Ile Pride Ime Cease Kutokana Na Govt Ku Abandon These Special Schools. Watoto Wao Pia Hawapo Kwenye Hizi Shule. Their Children Are Being Educated In the British & American System So That When They Graduate They Go To Uk & Us. Hii Ndo Tragedy Ya Politicians. My Take Govt Iweke Restoration of Education Esp in Govt Schools. Cc Real G
 
Right Now. Minja Yupo Single. Aliniambia Yule Binti Alipass Away. Let Her Soul Rest In Peace. Cc. Mpasta
 
Haaaa haa awaaaaapi! Hamna Mpishi Wa Kike Pale. Labda Unidanganye Ulikuwa Unapika Salooo....,,

Mpishi wa kike ina maana umemsahau Shangazi? Wali a k a Nyali. Sehemu pekee ya kuogopwa ilikuwa ni Mongwe, usiombee mtu akapachuka na kubandikwa kuwa ametumiwa Pesa. Hahahaha, Great School. Daah kina Bitwale ndo hivyo tena. Salamu kwa wanafunzi wote tuliokutana 99-2002 hasa wa Shabani Robert 5

images
 
Haa Haa! Moja Ya Sifa Ya Kuwa Kiongozi Wa Msosi (DH Chairperson and his Committee) Lazima Uwe Baunsa(Muscular). Social Prefect Mara Nyingi Anatoka HGL. HP lazima Awe Na Miwani, Smart, Fluent In English, Novel Reader nk. Kazi Ilikuwa Wakati Wa General Campaign Pale Assembling Hall. Contestant Unasimama Kunadi Kwa Ngeli. Kuna Mdau Alikuwa Ana Tremble Vibayaa. Ilikuwa Si Mchezo. Watu Wapo Wengi Afu Kimya Kimetawala. Haa ha...!
 
Shangazi Namfahamu Sana Tu. Lakini "tatty" Alitaka aji Camouflage Kuwa Shangazi Wakati Sio Ndiye...,,,, Cc Khalidoun.
 
hahaaa, mimi sikusoma mzumbe secondary, ila nimesoma Mzumbe chuo, sekondari nimesoma ilboru form 1 hadi 6, nimevutiwa na hii thread kwa kuwa kipindi kile mzumbe na ilboru tulikua wapinzani wa jadi, enzi shule za vipaji zikiwa ndio vinara kwenye matokeo ya form 4 na 6 kabla private hawaja take over,
ile obsession na rivalry kati ya school hizi nimeimiss kweli, kibaha nao walikuwepo.
ila naona kama serikali imeshindwa kuzi update ili kuendana na ukisasa wa shule za sasa hivi zinazofanya vizuri,

maabara za kizamani na majengo yamechakaa, miundombinu za maji pia ni shida
mara ya mwisho kwenda ilboru naona wamejitahidi kwenye majengo kukarabati ila mzumbe bado,
sasa hivi ni kama watoto wa masikini ndio wanaosoma pale sababu ya mazingira mabovu, hakuna ile pride ya zamani tena.. inasikitisha
ilboru mlikua mnaonewa sana na mzumbe kwa Alevel. japo na ninyi mlikua mnatuonea sana olevel.. haaa
 
Wazumbe Nyayooo!!!!

Update

Ukarabati Wa Shule Unategemewa Kuanza Hivi Karibuni Kwani Land Surveyors Washamaliza Kazi Waliyo Agizwa Na Wizara.

We Expect New Shinning And Ablast Mzumbe.
 
Bila Kusahau Much Thanks To Mzumbe Alumni Kwa Innovation Na Facilities Nzuri Kwenye Shule Yetu.
 
Picha Za Matukio Zitatumwa Hapa
Wakati Wowote Kuanza Muda Huu.

Karibuni Wana JF Wote Zao La Mzumbe.
Kwa Maoni, Experience, Mawazo,etc
 
Picha Za Matukio Zitatumwa Hapa
Wakati Wowote Kuanza Muda Huu.

Karibuni Wana JF Wote Zao La Mzumbe.
Kwa Maoni, Experience, Mawazo,etc
1474654116304.jpg


O-level Blocks
 

Attachments

  • 1474654173359.jpg
    1474654173359.jpg
    8.5 KB · Views: 49
Back
Top Bottom