Mzumbe Sekondari

Mzumbe Sekondari

Teh teh nimekumbuka ktu. Kule mzumbe University tulikua tunakuja kusoma pindi umeme ukikatika kule mzumbe secondary basi kuna siku walimu walikuja kufany ambush kule kule chuoni..
Ha ha ha! Mlifanyiwa Ambush? Si Walimu Walikuwa Wanachonga na mlinzi Wa Chuo. Akigundua We Sio Wapale Anaita Mwiziii. Duh Ukidakwa Unachezea Rungu, Mangumi, Mtama. Afu Wana Kupiga Biti Usije Tena. But Wadau Ukiwakataza Ndo Kama Umewaita. Tuna shuka kama nyuki. Teh teh teh.
 
KULIKUWA NA MWALIMU WA KITUSI MWAKA 1995 ALIFUNDISHA HISTORY MRS RUBAGUNYA DAAH MAMA AMEUMBIKA SIJAPATA KUONA DUNIA HII NILIKUWA SIPENDI HISTORY ILA SIKOSI KIPINDI KUSHUHUDIA UUMBAJI WA MUNGU KWA HUYU MAMA
Ha ha! Umetisha Mkuu. Hou Utukufu Wa Mungu Ulienda Wapi?? Ha ha...!
 
ngojeni niwaulize swali hili

mtu kachaguliwa mzumbe, kibaha and the like inatokeaje anapata 0 hadi 3 form 4 au 6 ili hali walio onekana ndio 0 shule ya msingi wengi wankuja kufaulu zaidi yao
Kuna Factors Nyingi. Kuna Baadhi Wanapewa Paper Wakiwa Primary au O- level. Au Wengine Wanatoa Hongo Na Kuhamia Pale. Siku Hizi Wapo Wengi. Mara Nyingi Hao Wanaleta Ufaulu Mbaya. Pia Wanaotoka Private Wanashindwa Kufanya vizuri kutokana na Mazingira Ya Mzumbe. Hope Nimekujibu Swali lako.
 
ngojeni niwaulize swali hili

mtu kachaguliwa mzumbe, kibaha and the like inatokeaje anapata 0 hadi 3 form 4 au 6 ili hali walio onekana ndio 0 shule ya msingi wengi wankuja kufaulu zaidi yao
Mkuu kwenda mzumbe, kibaha hakukupi guarantee ya kufaulu. Kule ni juhudi zako sana ndo zinakutoa. Kitu kingine ni mazingira. pia kuna watu wakienda hizo shule wanakuta mazingira waliyoyategemea ni tofauti kabisa na yaliyopo pale unakuta mara nyingi mtu anakata tamaa.
Kitu kingine ni ushindani, kule kuna ushindani wa hali ya juu mno mnaweza mkafanya mtihani wew ukauona mgumu lakini nusu ya darasa lako wakapata A na hata watu wakapata 100 kama ukiwa na moyo mwepesi unaweza kukata tamaa.na ukikata tu tamaa basi utaendelea kuwa wa mwisho mpaka unamaliza.
Pia aina ya wanafunzi, sio wanafunzi wote wanaopelekwa kule wanakuwa wamefanya vzuri.
Kitu cha mwisho ukienda hzo shule kufeli utake wew mwenyew mana kule kuna ushirikano mno wanafunzi huwa wanafundishana wenyew, ukieka tu juhudi zako mwenyew za kusoma unafaulu.
Hayo ni maoni yangu
 
Hapana Mkuu. Nimekulia mazingira ya huko. So napafahamu sana
Asiee! Kama umekulia Hayo Mazingira Ndo Uwafahamu Watu Wengi Hivyo wa Mzumbe sec na Univ.?? Mmh na Mashaka Na weye.
 
Asiee! Kama umukulia Hayo Mazingira Ndo Uwafahamu Watu Wengi Hivyo wa Mzumbe sec na Univ.?? Mmh na Mashaka Na weye.
Kifupi ni kwamba.. nimezaliwa huko..nimeishi huko. Mzumbe ni kama nyumbani...moro is my home town.
 
Vipi mjombo Mzee Minja yupo bado????? Mtaalamu wa English Olevel!
 
Shaban Robert Namba 5 then nikahamia complex....,nilivyorudi advance nikarudi tena SR5. Daah nazikumbuka nyuji.

Alivyokuja Mwasha tuliishi vizuri sana aisee. No much kande , nyali most of the time. Nilipenda sana ile spirit ya kusoma ya Mzumbe.
 
Vipi mjombo Mzee Minja yupo bado????? Mtaalamu wa English Olevel!
Minja Bado Yupo. Nilipita Kumsabahi Sema Yupo Single. Mke Wake Alipass away (R.I.P). Pia Kiswaga Na Shayo Niliwaona.
 
Shaban Robert Namba 5 then nikahamia complex....,nilivyorudi advance nikarudi tena SR5. Daah nazikumbuka nyuji.

Alivyokuja Mwasha tuliishi vizuri sana aisee. No much kande , nyali most of the time. Nilipenda sana ile spirit ya kusoma ya Mzumbe.
Ha ha haa! Shaby A.k.a Town. Mwasha ali Favour Sana Wazumbe Nilishangaa Walipo Fanya Mgomo. Right now No Favour At All....!
 
Kifupi ni kwamba.. nimezaliwa huko..nimeishi huko. Mzumbe ni kama nyumbani...moro is my home town.
Wali na njegere kwa mama Bossi
Burger Na chipsi kwenye kile kiosk cha mbao/mabati ilipokuwa zinasimama coasters za kwenda Dar
Disco shimoni
Picknic za Tangeni
Bila kusahau Cheng
 
Nani anakumbuka Hii? School Baraza Ambapo Wazumbe Walitaka Walimu Wanao Fundisha Wawe Na Masters & P.h.d tu? Afu Wapishi Wawe Na Diploma. Duuh! Minja ali mind Sanaaa.
 
Nani anakumbuka Hii? School Baraza Ambapo Wazumbe Walitaka Walimu Wanao Fundisha Wawe Na Masters & P.h.d tu? Afu Wapishi Wawe Na Diploma. Duuh! Minja ali mind Sanaaa.
haaaaaa.. wazumbe noma, baadae watadai mpishi awe na phd
 
Back
Top Bottom