Mzumbe Sekondari

Mzumbe Sekondari

Wanafunzi pamoja na wafanyakazi wengine wa shule....

Baadaye alipelekwa pale assembly jirani na form six S3 ili kutangaza ushindi...

Bahati mbaya mbwa alikufa coz alishavunjwa vunjwa mbavu...
assembly jirani na s3.. hii kali
 
assembly jirani na s3.. hii kali
Kwa nini mkuu?
Sikumaanisha assembly hall ambako ni jirani na bwalo. Nilimaanisha parade ground ambayo iko imezungukwa na madarasa ya form six PCM, biology lab, dispensary, kiwanda cha uchapishaji Mzumbe na madarasa ya Olevel...
 
Alikuwa mwalimu maarufu sana wa sheria tangu enzi za IDM mpaka ilivyokuwa Mzumbe University Sina uhakika kama bado yupo pale sasa hivi.
Teh teh nimekumbuka ktu. Kule mzumbe University tulikua tunakuja kusoma pindi umeme ukikatika kule mzumbe secondary basi kuna siku walimu walikuja kufany ambush kule kule chuoni..
 
MAANDAZI MATAMUUU KAMA HALF-CAKE YA MKE WA MWALIMU MSABILA TUNAPANGA FOLENI HOME KWAKE YA MOTO MOTO MOJA TSHS 15/= UKIWA NA TSHS 60/= MAANDAZI MANNE UNA MIX NA MAHARAGE BUKU LINAPANDA ILE MBAYA DAAH
 
KULIKUWA NA MWALIMU WA KITUSI MWAKA 1995 ALIFUNDISHA HISTORY MRS RUBAGUNYA DAAH MAMA AMEUMBIKA SIJAPATA KUONA DUNIA HII NILIKUWA SIPENDI HISTORY ILA SIKOSI KIPINDI KUSHUHUDIA UUMBAJI WA MUNGU KWA HUYU MAMA
 
KULIKUWA NA MWALIMU WA KITUSI MWAKA 1995 ALIFUNDISHA HISTORY MRS RUBAGUNYA DAAH MAMA AMEUMBIKA SIJAPATA KUONA DUNIA HII NILIKUWA SIPENDI HISTORY ILA SIKOSI KIPINDI KUSHUHUDIA UUMBAJI WA MUNGU KWA HUYU MAMA
teh teh teh😀
 
Kwa nini mkuu?
Sikumaanisha assembly hall ambako ni jirani na bwalo. Nilimaanisha parade ground ambayo iko imezungukwa na madarasa ya form six PCM, biology lab, dispensary, kiwanda cha uchapishaji Mzumbe na madarasa ya Olevel...
enzi zetu kulikua hakuna darasa la biology karibu na assembly. Biology s3 lilikua chini kabisa nyuma ya nyumba ya yule mzee wa maktaba. hapa assembly kulikua na hgl, s1 na s2. labda miaka uliyo soma kama walibadirisha.
 
enzi zetu kulikua hakuna darasa la biology karibu na assembly. Biology s3 lilikua chini kabisa nyuma ya nyumba ya yule mzee wa maktaba. hapa assembly kulikua na hgl, s1 na s2. labda miaka uliyo soma kama walibadirisha.
Mkuu,
Form VS3 lipo jirani na assembly upande wa madarasa ya Olevel na Computer room.
 
enzi zetu kulikua hakuna darasa la biology karibu na assembly. Biology s3 lilikua chini kabisa nyuma ya nyumba ya yule mzee wa maktaba. hapa assembly kulikua na hgl, s1 na s2. labda miaka uliyo soma kama walibadirisha.
Bila shaka utakuwa ulisoma enzi za headmaster Msuka...
 
ngojeni niwaulize swali hili

mtu kachaguliwa mzumbe, kibaha and the like inatokeaje anapata 0 hadi 3 form 4 au 6 ili hali walio onekana ndio 0 shule ya msingi wengi wankuja kufaulu zaidi yao
 
Back
Top Bottom