Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Najiuliza hivi kwanini mtu akiwa shidani, wa ngozi nyeupe, ukimkwamua shidani mwake, atakushukuru sana na hatoona aibu kusema hadharani, fulani kanisaidia.
Lakini sasa sisi kina Mtokambali, ukisaidia na fulani, humtaji, hata ukiulizwa ile shida yako umeitatuaje? Unaishia kusema ni Mungu amenisaidia.
Hivi Waswahili, kwanini tuko hivi? Je, hii ndio roho yenyewe ya uchawi ya kutaka wengine wenye shida kama yako waendelee kutabika bila msaada? Au sisi ndio tuko karibu sana na Mungu kuliko wazungu?
Lakini sasa sisi kina Mtokambali, ukisaidia na fulani, humtaji, hata ukiulizwa ile shida yako umeitatuaje? Unaishia kusema ni Mungu amenisaidia.
Hivi Waswahili, kwanini tuko hivi? Je, hii ndio roho yenyewe ya uchawi ya kutaka wengine wenye shida kama yako waendelee kutabika bila msaada? Au sisi ndio tuko karibu sana na Mungu kuliko wazungu?