Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀
Nakuzingua 😄 tumrangi acha kupotosha umma,
kiongozi na mtumishi wao makini sana, natumia maji ya kuchemsha nyumbani pekee. na ndio maana niko fiti sana physically, mentally, spiritually and saikolojikali 🐒
Mimi sinywagi energy za aina yoyote ile😀😀
Hata Lucas Mwashambwa anazipenda sana,
Nadhani zinawapa nguvu na hamasa ya kuanzisha zile nyuzi zao za Chama.
Boda boda na machagundoa ili wasisinzie usiku,ukinywa hizo mbili tu haulaliBodaboda wanazipenda
Ova
tangazoMbona kwao VIAGRA ina......
Malizia basi niisherehekee point yako.Mbona kwao VIAGRA ina......
nishawai kuinywa alafu nikachanganya na sungura alafu nikaenda kulala kichwa kiliwaka moto hatariHiyo kitu usipige unaenda kulala ni utadanja ila binafsi zilinishinda kabisa
Viagra is for old peopleMbona kwao VIAGRA ina......
Spirit kitu gani mkuu? Watu wanavuta hadi mvuke wa petroli.Watu wanakunywa mpaka spirit hapa bongo
Nadhani ni vyema Tukaishia Hapakwani red bull sio energy..!!
human matters ni ngumu sana kuzielezea mi nafikiri hata Mungu akiulizwa kuhusu maisha ya mwanadamu atatumia si chini ya sentensi 30!!.
hapo ndo atakuwa ameeleza kwa ufupi na akaeleweka!.
kwanini..??
kwasababu maisha ya binadamu yanamchanganyiko sana tofauti na ya kiumbe chochote kile nafikiri viumbe ambavyo vinakuwa na intelligence kubwa hata maisha yao yanakuwa complicate sana!.
binadamu huyohuyo anaekunywa hiyo energy ndie anaeitengeneza huku akijua inamadhara na ndie binadamu huyohuyo hata akiambiwa asinywe,atakunywa huku akijua inamadhara!. haitoshi wewe unaejilinda na vitu vyenye madhara unaweza ukafa mapema kushinda wanaokunywa hizo energy,pombe,bangi n.k maisha ni kama hayana slogan moja yakueleweka na hata kama ipo basi ni bado hatujaifunua!..
wapo watu nawajua ni walevi haswa na sasahivi wanagonga miaka 80 na mpk sasa wanakunywa liquor ambazo hata mimi siwezi kuzinywa yani ni kali haswa!..😂
na waliaza kunywa hata kabla sijazaliwa na wanakula sigara,bangi n.k
mi nafikiri miili yetu inatofauti sana ktk namna yaupokeaji wavitu!. mwanadamu sio tu kiumbe mbishi ni kiumbe kilichoshindikana na nafikiri hata leo dunia iteketezwe basi ndo anaweza kuwa kiumbe wamwisho kukata pumzi!,hii nikutokana na uwezo alionao na mbinu alizonazo zakuishi!.
life is very complicated,mtu huyohuyo anaweza kunywa sumu fulani akafa na mtu huyohuyo anaweza kunywa sumu aina yengine yenye nguvu kushinda ya awali na asife!.. nafikiri kuna mechanism tofauti tofauti tunatofautiana ktk miili yetu!.
Wewe jamaa unajikutaga unaongea point maneno mengii kumbe pumba tukwani red bull sio energy..!!
human matters ni ngumu sana kuzielezea mi nafikiri hata Mungu akiulizwa kuhusu maisha ya mwanadamu atatumia si chini ya sentensi 30!!.
hapo ndo atakuwa ameeleza kwa ufupi na akaeleweka!.
kwanini..??
kwasababu maisha ya binadamu yanamchanganyiko sana tofauti na ya kiumbe chochote kile nafikiri viumbe ambavyo vinakuwa na intelligence kubwa hata maisha yao yanakuwa complicate sana!.
binadamu huyohuyo anaekunywa hiyo energy ndie anaeitengeneza huku akijua inamadhara na ndie binadamu huyohuyo hata akiambiwa asinywe,atakunywa huku akijua inamadhara!. haitoshi wewe unaejilinda na vitu vyenye madhara unaweza ukafa mapema kushinda wanaokunywa hizo energy,pombe,bangi n.k maisha ni kama hayana slogan moja yakueleweka na hata kama ipo basi ni bado hatujaifunua!..
wapo watu nawajua ni walevi haswa na sasahivi wanagonga miaka 80 na mpk sasa wanakunywa liquor ambazo hata mimi siwezi kuzinywa yani ni kali haswa!..😂
na waliaza kunywa hata kabla sijazaliwa na wanakula sigara,bangi n.k
mi nafikiri miili yetu inatofauti sana ktk namna yaupokeaji wavitu!. mwanadamu sio tu kiumbe mbishi ni kiumbe kilichoshindikana na nafikiri hata leo dunia iteketezwe basi ndo anaweza kuwa kiumbe wamwisho kukata pumzi!,hii nikutokana na uwezo alionao na mbinu alizonazo zakuishi!.
life is very complicated,mtu huyohuyo anaweza kunywa sumu fulani akafa na mtu huyohuyo anaweza kunywa sumu aina yengine yenye nguvu kushinda ya awali na asife!.. nafikiri kuna mechanism tofauti tofauti tunatofautiana ktk miili yetu!.