Mzungu ameshangaa kwanini Azam energy inauzwa hadharani

Mzungu ameshangaa kwanini Azam energy inauzwa hadharani

Tatizo hao watumiaji wengi hawajui kwann wanatumia na asilimia 70 ya wa TZ hawasomi ingredients wala expire date ya bidhaa yoyote wanayo hitaji kuitumia.
Hii dunia Ina mabalaa mengi Kuna lotion 🧴 Fulani wife huwa anaitumia Mimi nikaenda kuinunua bila kuangalia expired date.

Siku napiga story za hapa na pale akanambia hiyo lotion uliniletea ime expired ukitaka kujua angalia inakua laini Sana pia expired date imefutwa futwa na kweli ikawa ivyo..

Hata kwenye madawa ya binadamu wapo wanao chezea expired date imefutwa na kuweka nyingine

Kwenye eneo la vinywaji na vyakula ndio balaa aisee mungu atusaidie kwa kweli..
 
Tatizo hao watumiaji wengi hawajui kwann wanatumia na asilimia 70 ya wa TZ hawasomi ingredients wala expire date ya bidhaa yoyote wanayo hitaji kuitumia.
Binafsi nimekuwa nikishangaa sana kuona watu wanakunywa energy drink kama kinywaji tu cha kawaida, yaani kama mtu anavyoweza tu kununua soda na kunywa. Ajabu sana.
 
The main roles of taurine in your body are (1Trusted Source, 2Trusted Source, 4Trusted Source):
  • maintaining proper hydration and electrolyte balance in your cells
  • forming bile salts, which play an important role in digestion
  • regulating minerals such as calcium within your cells
  • supporting the general function of your central nervous system and eyes
  • regulating immune system health and antioxidant function
 
Binafsi nimekuwa nikishangaa sana kuona watu wanakunywa energy drink kama kinywaji tu cha kawaida, yaani kama mtu anavyoweza tu kununua soda na kunywa. Ajabu sana.
Mnajilipua tu na mapresha buureee kisa mzungu kaongea.
Huyo mzungu yeye ameeleza expression yake juu ya hiko kinywaji,na hata yeye amekiri kukikubali kwasababu kinamchangamsha.
Isipokua anachoshangaa yeye ni kuwa huwenda kina kitu cha ziada kimewekwa ndani maana sio kawaida kinywaji kimuamshe mtu namna hiyo.
Hakuna madhara yeyote mnajipa presha za bure tu.
 
Hii Dunia ukifikiria sana utapata presha...Mi Energy nakunywa, pombe nakunywa ila bangi sivuti ingawa ikinikuta mazingira flani naweza ivuta bila shida na nishavuta mara Moja... Huwa siendekezi ngono ila mwanamke akijilengesha lazima nimle...
 
Back
Top Bottom