Mzungu anawaambia wahamiaji wa kiafrika msije Uingereza "Don't come to England"

Mzungu anawaambia wahamiaji wa kiafrika msije Uingereza "Don't come to England"

Kuitengeneza nchi ni maendeleo ya vitu sio watu
Sio kweli. Baada ya vita kuu ya pili ya dunia, Ujerumani ilikuwa katika hali mbaya sana. Miundombinu yake iliharibika sana, hawakuwa hata na chakula mpaka Marekani ikawa inawadondoshea vifurushi vya chakula, maji na dawa kwa ndege ili kuwanusuru. Hiyo ilikuwa mwaka 1945. Leo hii Ujerumani ni taifa linaloongoza kwa nguvu ya kiuchumi duniani. Kilichowakomboa ni uongozi imara na utajiri wa kifikra wa watu wake kugeuza fursa chache walizopata kuijenga nchi yao upya.

Leo hii utajenga daraja, ila kama hauna watu wenye uwezo wa kulitumia au kulihudumia ipasavyo, litaleta hasara badala ya faida.
 
Kwani nyie misaada mnaomba wapi stupid
Tatizo la Waafrika wengi hawafahamu kwamba vita kubwa sana inaendelea kati ya mtu mweusi na mweupe. Haitaisha leo wala kesho. Cha kushangaza makuwadi kama toto Tundu Lisu na vibaraka wao wanaangalia matumbo yao tu.
 
Sasa nashangaa pale wazungu wanapotetea demokrasia yetu ili sisi tusikimbilie kwenda kwenye nchi zao tunawaona mabeberu wanaoangalia maslahi yao. Kuna baadhi ya mambo huko ulaya na penginepo yanapata wakati mgumu kipindi hiki hususani baadhi ya ajira, elimu na dini hivyo huhitaji watu wachache tu ambao watajazia baadhi ya nafasi.
 
Tatizo la Waafrika wengi hawafahamu kwamba vita kubwa sana inaendelea kati ya mtu mweusi na mweupe. Haitaisha leo wala kesho. Cha kushangaza makuwadi kama toto Tundu Lisu na vibaraka wao wanaangalia matumbo yao tu.
Mnamshambulia Lissu kukimbilia Ulaya kutibiwa, tuwe wa kweli angebaki TZ angehudumiwa alivyohudumiwa?

Kwa mazingira yale ya kushambuliwa hata ungekua wewe kama ungepata fursa ya kutibiwa ulaya usinge kataa.

Viongozi wetu wangapi walitibiwa ulaya. Je, mliwaita mawakala wa mabeberu?

Ninyi ndio mnaoeneza dhana ya wananchi kuamini hatuendelei sababu ya mabeberu kumbe tatizo ni sisi wenyewe.
 
Tokea ukoloni umeondoka Afrika ni muda mrefu ambao kama tungekuwa serious tungekuwa tumeshaendelea sana, tatizo la Waafrika ni ubinafsi, ukabila, chuki, fitina, wivu na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe.
Kama Tundu Lissu
 
Kwani huyu lisu yeye ndio anasaini mikataba ya mikopo au ya uwekezaji, tuache kujitoa akili tena acha upuuzi, afrika tatizo mifumo mibovu, sisi watu weusi sijui tunakwama wapi, matatizo yetu tunawapa wenye mrengo mbadala, ebu kuwa serious mkuu, hili taifa lina miaka 50+ sasa ya Uhuru, hao wenye mrengo mbadala wana impact gani so far?!
Nani anakaribisha mikataba ya kinyonyaji,nani anaita wawekezaji, nani anaunda taasisi za serikali?
Mbona wengi wetu tuna akili finyu hivi?!
Mkuu jitahidi peleka watoto shule.
Kama hasaini kuna haja gani kuja kupiga kelele tunapojenga barabara
 
Sio kweli. Baada ya vita kuu ya pili ya dunia, Ujerumani ilikuwa katika hali mbaya sana. Miundombinu yake iliharibika sana, hawakuwa hata na chakula mpaka Marekani ikawa inawadondoshea vifurushi vya chakula, maji na dawa kwa ndege ili kuwanusuru. Hiyo ilikuwa mwaka 1945. Leo hii Ujerumani ni taifa linaloongoza kwa nguvu ya kiuchumi duniani. Kilichowakomboa ni uongozi imara na utajiri wa kifikra wa watu wake kugeuza fursa chache walizopata kuijenga nchi yao upya.

Leo hii utajenga daraja, ila kama hauna watu wenye uwezo wa kulitumia au kulihudumia ipasavyo, litaleta hasara badala ya faida.
walisimama sababu hawana watu wa kuwaingilia ingilia na kuwaletea habari za uhuru wa vyombo vya habari, haki za binadamu, tume huru na ujinga mwingine
 
British man tells African migrants to "Don't come to England"

Katika video hapo chini mzungu anawaambia wahamiaji wa kiafrika kuwa wasiende Uingereza kwa kuwa wana wahamijai wa kutosha na watu wao ambao inabidi wawatumikie
View attachment 1563148
Hajapenda kuficha ficha mambo, kasema kutoka moyoni, bora yeye kuliko wanafiki wanosema wanatupenda huku wanatunyanyasa.
 
Wacha tukimbilie kwao tu maana matatizo mengi tunayoyakimbia kwetu mostly wametutengenezea au kuleta kwetu kwa maslai yao so its better tunabishane nao huko huko kwao
Excellent kabisa, tena turundikane kwa kujiamini na kujidai hadi akili ziwakae sawa wanaolalamika ni raia wa kawaida lakini viongozi wao wanajua fika wanavyonufaika na Africa.
 
Ndio, historia inaonyesha bara la Afrika lina "mchango mkubwa" katika maendeleo ya Bara la Ulaya na Bara la Marekani ya Kaskazini kwa karne kadhaa sasa.
Lakini tukiamua kujenga tunaweza. Malaysia Singapore na wengine wameweza.
 
The British should return what they stole from Africa first otherwise Africans should go there and take as much as they can
Hayo ni mawazo ya kiutumwa.

Na wewe warudishie misaada yote waliyokupa tangu uhuru hadi leo.

Kimsingi Waafrika tujipange tuanze kupenda na kuendeleza vya kwetu.

Wao wameweza kwa kupenda na kutengeneza vya kwao.

Tena uzuri tunapo pa kutazamia kwa hiyo hiyo ni shortcut tayari.
 
Hao vijana kama walikuwa hawaelewi kwa nini wasiondoke, hapo kila wanachoambiwa ni 'OK' na kutikisa kichwa, PUMBAFU SANA!🤨
 
walisimama sababu hawana watu wa kuwaingilia ingilia na kuwaletea habari za uhuru wa vyombo vya habari, haki za binadamu, tume huru na ujinga mwingine
La hasha! Wameweza kufika hapo walipo kwasababu ya ulivyovitaja.
 
Kwani Dunia hii ni Miliki ya nani ?
" kwenu ni kwetu sote ila kwangu pangu tu "
Mwisho wa siku sote tutakuwa chakula cha funza na wadudu !!
 
Nilivyovitaja ni upuuzi unaofaa kupuuziwa

Bara la Asia wanapuuza sana ndio maana wanapiga hatua, sisi tunaostaarabishwa na ustaarabu wa kimapokeo ndo changamoto
La hasha! Wameweza kufika hapo walipo kwasababu ya ulivyovitaja.
 
Hatuwezi kwa sababu tumekumbatia mifumo kandamizi
Hapo ndio tunatakiwa tuelimishane ili tuushinde huu mfumo kandamizi.

Tuachane na viongozi walafi wapenda matumbo yao na familia zao.
 
Back
Top Bottom