Mzungu anawaambia wahamiaji wa kiafrika msije Uingereza "Don't come to England"

Mzungu anawaambia wahamiaji wa kiafrika msije Uingereza "Don't come to England"

Hapo ndio tunatakiwa tuelimishane ili tuushinde huu mfumo kandamizi.

Tuachane na viongozi walafi wapenda matumbo yao na familia zao.
Wasomi na wanasiasa ndio mwiba

Kuna mtu nikisema mtu kama Lissu ni wakala wa mifumo hiyo atasema naleta siasa
 
Waafrika matatizo tunayatafta wenyewe. Tunasshindwa kutengeneza nchi zetu tunakimbilia za wazungu, kwani tuliwasaidia kutengeneza nchi zao?
Kuna neno moja kiongozi fulani "dunia bila tanzania inaweza kuishi"
Kwa nini tusikimbilie ulaya na yeye kasema wao wapo juu sisi tupo chini
Povu kwenu mtamjua
 
Magufuli akipambana nayo anakuja mzungu kwa mdomo wa wapinzani kwamba tunaharibu diplomasia

Diplomasia bila win win situation ni wizi kama wizi mwingine tu
Hii mikataba kandamizi tuliyoingia na wazungu ilisainiwa na nani?
 
Magufuli akipambana nayo anakuja mzungu kwa mdomo wa wapinzani kwamba tunaharibu diplomasia

Diplomasia bila win win situation ni wizi kama wizi mwingine tu
Tuanzia kwenye tatizo halafu tuje suluhisho
 
Tatizo tumekumbatia mifumo ya kigeni kuanzia kiutawala, kiimani na kiutamaduni
Ukisema tumekumbatia una maana ya nani?.

Hujanijibu mikatana hii kandamizi ambayo leo tunamlaumu TL ilisainiwa na nani na nani alikuwa Waziri kipindi chote mikataba inasainiwa?

Kuna clip ukitaka nitakuwekea hapa, Mzee Baba anamwambia JK safiri nenda katafute pesa ulete hapa tujenge mabarabara.

Sasa leo imekuwaje?
 
Ukisema tumekumbatia una maana ya nani?.

Hujanijibu mikatana hii kandamizi ambayo leo tunamlaumu TL ilisainiwa na nani na nani alikuwa Waziri kipindi chote mikataba inasainiwa?

Kuna clip ukitaka nitakuwekea hapa, Mzee Baba anamwambia JK safiri nenda katafute pesa ulete hapa tujenge mabarabara.

Sasa leo imekuwaje?
Hivi nikisema tumekumbatia sieweki? Namaanisha ujinga ni wetu

Lakini ukikosea ni marufuku kurekebisha?
 
Hivi nikisema tumekumbatia sieweki? Namaanisha ujinga ni wetu

Lakini ukikosea ni marufuku kurekebisha?
Kwanini chuki msielekeze kwa hao waliosign hiyo mikataba na kuikumbatia kwa zaidi ya miaka 25. Mnakuja kuileketa kwa mtu ambaye anafumua ukweli uliopo ndani ya hiyo mikataba?
 
Kwanini chuki msielekeze kwa hao waliosign hiyo mikataba na kuikumbatia kwa zaidi ya miaka 25. Mnakuja kuileketa kwa mtu ambaye anafumua ukweli uliopo ndani ya hiyo mikataba?
Uneonyesha uhalisia wa mwafrika sasa, yaani tumchukie Mangungo, Tumchukie Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Jakaya, na Magufuli badala ya kuachana na mifumo

Huyo unayemtetea ni afadhali angekuwa anafumua ukweli, bali yeye anatetea unaoita ukweli ambao ni maumivu

Hana haja ya kufumua maana hakuna anachosema wewe hukijui
 
Huo ndio ukweli, mnajazana kwenye kisiwa cha Watu, kisiwa chenyewe kidogo mnaacha mainchi yenu makubwa.

La sivyo muwaruhusu warudi tena kuwatawala na nchi zenu zipendeze ziwe kama kwao, nanyi muwe na EPL yenu, Man U, Liverpool, Arsenal n.k...msione vinaelea vimeundwa jamani.
 
Uneonyesha uhalisia wa mwafrika sasa, yaani tumchukie Mangungo, Tumchukie Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Jakaya, na Magufuli badala ya kuachana na mifumo

Huyo unayemtetea ni afadhali angekuwa anafumua ukweli, bali yeye anatetea unaoita ukweli ambao ni maumivu

Hana haja ya kufumua maana hakuna anachosema wewe hukijui
Nawanukuu "TL ni Kibaraka wa Mabeberu, akipewa nchi atawapa wazungu".

Ubinafsishaji ulikuja wakati wa Mkapa. Mkapa aliwapa wazungu vitu vingi kwa mikataba mibovu, JK akaendeleza kuwapa.

Swali langu kwenye kwa nini msianze kuwachukia hawa kwanza walioiweka nchi kweli hali hii?
 
Wacha maisha yaendelee
Nawanukuu "TL ni Kibaraka wa Mabeberu, akipewa nchi atawapa wazungu".

Ubinafsishaji ulikuja wakati wa Mkapa. Mkapa aliwapa wazungu vitu vingi kwa mikataba mibovu, JK akaendeleza kuwapa.

Swali langu kwenye kwa nini msianze kuwachukia hawa kwanza walioiweka nchi kweli hali hii?
 
Wacha maisha yaendelee
Mzee Baba namkubali sana kwa work ethic yake, hands on n.k

Miaka miwili ya mwanzo kwa mimi alikuwa ni perfect, alianza kutatua matatizo(Uongozi) ambayo tulikuwa nayo kwa miaka 30. Uwajibikaji ulianza kuongezeka, ukusanyaji mapato ulipanda.

Kwa maoni yangu washauri (Mfumo) ndio umemwangusha kwa kumshauri vibaya. Kuanzia 2017 Mzee Baba aliachana na yale aliyokuwa ameanza nayo na ndio kipindi hicho mambo ya kuunga mkono juhudi yalianza, Neno Beberu lilianza wakati huo pia. Mabilioni ya pesa yakaanza kutumia kwenye kurudia uchaguzi n.k

Kwa mimi naona bado ana nafasi lakini arudi kwenye misingi ya mwanzo ya kutibu matatizo tuliyonayo ambayo ni "Uongozi"
 
Mbona matatizo madogo sasa hayo

Neno beberu mbona sio tusi, ubeberu ni ubepari uliokomaa

Sasa kwani hao mbuzi sio mabepari?

Hakuna haja ya urafiki kwa jina la diplomasia kama upande mmoja unanyonywa

Sisi kuna viterminologies tumekaririshwa na tunaona sifa kuviimba

Utasikia demokrasia, diplomasia, Haki za binadamu, utawala wa sheria nk vyote hivi ni mifumo ya kinyonyaji ambayo kwao hawaitekelezi kwa asilimia zote

Mzee analaumiwa kwa kuharibu demokrasia kwanza sio kweli pili kama hiyo diplomasia ni ya kinyonyaji acha aiharibu

Tunaambiwa ameharibu demokrasia, ingekuwa na maana au ni applicable Trump asingekuwa rais

Tunaambiwa utawala wa sheria, juzikati kuna maafisa walimtolea ushahidi Trump kuhusu uchaguzi akawatimua


Tunaimbishwa nyimbo ambazo kwao hawatekelezi na ambazo waliopuuza wametoboa

Tumeletewa mfumo wa elimu wa hovyo ambao mtu akishakaririshwa hizo terminologies hapo juu anaona fahari kuziimba hadharani na ati ndio usomi wenyewe


MUNGU BARIKI AFRIKA
Mzee Baba namkubali sana kwa work ethic yake, hands on n.k

Miaka miwili ya mwanzo kwa mimi alikuwa ni perfect, alianza kutatua matatizo(Uongozi) ambayo tulikuwa nayo kwa miaka 30. Uwajibikaji ulianza kuongezeka, ukusanyaji mapato ulipanda.

Kwa maoni yangu washauri (Mfumo) ndio umemwangusha kwa kumshauri vibaya. Kuanzia 2017 Mzee Baba aliachana na yale aliyokuwa ameanza nayo na ndio kipindi hicho mambo ya kuunga mkono juhudi yalianza, Neno Beberu lilianza wakati huo pia. Mabilioni ya pesa yakaanza kutumia kwenye kurudia uchaguzi n.k

Kwa mimi naona bado ana nafasi lakini arudi kwenye misingi ya mwanzo ya kutibu matatizo tuliyonayo ambayo ni "Uongozi"
 
Huo ndio ukweli, mnajazana kwenye kakisiwa cha Watu manaacha mainchi yenu makubwa.

La sivyo muwaruhusu warudi tena kuwatawala na nchi zenu zipendeze ziwe kama kwao, nanyi muwe na EPL yenu, Man U, Liverpool, Arsenal n.k...msione vinaelea vimeundwa jamani.
Haha
 
Back
Top Bottom