Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Afuate taratibu, atapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama accent yake siyo ya kibritishHakuna binadamu anaependa Vita wala kubebeshwa silaha, huyu kijana toka Uingereza ameamua kuukana Uraia wake na kumuomba Rais Samia ampatie Uraia wa Tanzania.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2890507
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Inamaana gigy money hajamuonaAlisema anatamani kupata mtoto mzuri wa kiswahili alietulia ili akamtolee posa amuowe.
Jina lake tu linaonesha huyu ni nani.Huko uingereza alihamia tu, si mwingereza wa asili.
atoke apo machame harakaHakuna binadamu anaependa Vita wala kubebeshwa silaha, huyu kijana toka Uingereza ameamua kuukana Uraia wake na kumuomba Rais Samia ampatie Uraia wa Tanzania.
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2890507
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️