Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Ila Kwa uhalisia anaemuona mkenya monkey anakuona pia kama monkey,eti mtu akizungumza Kiswahili tunamuona hajasoma?Acha shombo babu! Kiswahili ni sehemu ya maisha yetu.Tofauti yangu na Mkenya ni kuwa mkeny ni Typical kibaraka wa mzungu, Mkenya huigiza maisha ya Uzungu Kenya ukizungumza Kiswahili kama wewe unaonekana hujasoma, Kenya ni nchi ya watu wanaolamba matako ya Wazungu. Hata katiba mpya ya Kenya imekuwa imported from US.
Sasa ikitokea mnatukanwa hivi na hao Mabwana zenu ndio tunashangaa inakuwaje,
Aiyaaaa baada ya Muchina! Huyu hawajamgusa na hawatamgusa yaani mpaka Huyu mama dr Mumbi kaamua kulalamika!
Gorillas humu ndani hebu ongeeni...[/SIZE=7]
A soldier doesn't run away from war, you keep on fighting until you conquer.shower them with love,who knows , huenda Mungu akatoa husuda ndani ya mioyo Yao kupitia wewe.admin I feel like quiting this forum as a Kenyan. Our Tz brothers are full of negative energy!
Unajua shida yenu kubwa wakenya ni hii,A soldier doesn't run away from war, you keep on fighting until you conquer.shower them with love,who knows , huenda Mungu akatoa husuda ndani ya mioyo Yao kupitia wewe.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Tena anayefurahia ni Yule mtu ambaye anafanana na anayetusiwa.maajabu.Nashangaa mtu kufurahia mwenzie kuitwa hivyo
Oy inabi tuanzishe Uzi wa kukusanya matukio ambayo wakenya wanayausisha na eac Kwa sababu ni mabaya yametokea kenya na yale ambayo ni mazuri yaliyo tokea Kenya wakaitenga eac na kuitaja Kenya kama Kenya mfano kipindupindu kikitokea Kenya wakenya uandika hivi na kutangaza hivi -------Hahahaha, jambo baya likitokea kwa wakenya, mnajaribu kulifanya liwe ni jambo la sisi wote, lakini Eliud Kipchoge ni Mkenya, katika mitandao ya kijamii neno lililozagaa ni " Proud Kenyans", kwanini hapa usiseme " Shame on Kenyans?
Labda kuna namna flan wana kau nyani flani
Lakini mara nyingi watu wa mabara. mengine waanpomwita mwafrica hawatumii maana, hiyo inaa maana wachezaji wa kiafrica wanapobaguliwa michezoni huwa wanakilisha maana ipi hasa?Mbona mm mtz namwita mkenya nyani usidhani kumwita MTU nyani ni Kwa sababu tu ya rangi yake kunasababu za msingi zaidi ,sasa niwaulize nyinyi mnao pinga kuwa wakenya siyo manyani mnajua kwanini Kenya inaitwa banana republic
Banana + Nyani= Kenya
Hiyo banana republic ni lugha ya fumbo ikiashilia = UNYANI YAANI
MONKEY REPUBLIC
Babako?We sepa tu mzee baba mbna njia nyeupe
Toa mfanoWatanzania tuwe wakweli na wawazi. Tusidindishe online vs Wakenya as if kama ingetokea kwetu tungemfanya huyo Mzungu lolote lile. Mara ngapi mambo kama haya wanafanyiwa Watanzania wenzetu ndani ya Tanzania na Watanzania wengine wanaanza kumsapoti Mzungu/Mchina/Mwarabu/Mhindi na kumcheka Mtanzania mwenzetu? Kuna stori kama kibao kama hizi zinatokea Tanzania mfano katika hotel, migahawa, mabasi, majumbani, sokoni. Watanzania tuache unafiki.
Nani kaongea vibaya kuhusu nchi yako?, Msemo nitautumia tena sasa hivi,wewe ukicheka mkenya kisa kaitwa monkey ilihali wewe na mkenya hamna utofauti wowote si utakua nyani anayecheka kundu la mwenzie bila kujua lake pia lipo vivyo hivyo.Unajua shida yenu kubwa wakenya ni hii,
Huwa napenda kutumia huu msemo "Nyani haoni kundule" mna katabia ya uchokozi alafu mkijibiwa mnaona kama hamstahili flani hivi [emoji23][emoji23][emoji23]
Huwezi ongea ujinga kuhusu nchi yangu alafu nikuache haiwezekani kabisa hiyo.
Hapana MamakoBabako?
Huwa hausomi nyuzi ndugu zako wanazozifungua?Nani kaongea vibaya kuhusu nchi yako?, Msemo nitautumia tena sasa hivi,wewe ukicheka mkenya kisa kaitwa monkey ilihali wewe na mkenya hamna utofauti wowote si utakua nyani anayecheka kundu la mwenzie bila kujua lake pia lipo vivyo hivyo.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Tembea mitaani Kenya ;Kiswahili kimeshamiri,Kiswahili kizuri tuu. Watanzania tujenge taabia ya kusafiri nnje ya mipaka yetu.Afrika moja EA moja.Leo naona mnaongea Kiswahili,
Lazima akili ziwarudi[emoji2][emoji2][emoji2]
Oy inabi tuanzishe Uzi wa kukusanya matukio ambayo wakenya wanayausisha na eac Kwa sababu ni mabaya yametokea kenya na yale ambayo ni mazuri yaliyo tokea Kenya wakaitenga eac na kuitaja Kenya kama Kenya mfano kipindupindu kikitokea Kenya wakenya uandika hivi na kutangaza hivi -------
1) EAC yaendelea kusumbuliwa na ugonjwa wa kipindupindu
2)watalii wakipungua Kenya Kwa sababu ya ugaidi hiyo habari itaandikwa na kutangazwa hivi na vyombo vya habari pamoja na serikali yao kuwa ----- Ugaidi washamili EAC watalii wapungua Kwa sababu ya usalama.
Sasa imekuwa kawaida Kwa wakenya jema lao kuwa lao na baya lao kuwa la Africa nzima au EAC mfano wanachezaji wao wakishinda mbio za dunia utasikia wakisema Kenya yazidi kung'ara hapo neno AEC wala Africa hautolisikia