tanzania imoHiyo world Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
Hiyo world
Hiyo world Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
kristapen siyo ya homa bali gonjwa sug la zinaaMapema sana msee, kristapen inauma ila ndio hushusha homa harakaπ
Huyo jamaa atakuwa akufanyia tathmini na amekuona na ataendelea hivyo.Thanks dear amenichek tayari.
Kuna haka katabia ukiwa na jambo lako binafsi la kusubiria na ukalisema kwa jirani ama kwa mtu yoyote huwa halitimii. Unakuwa kama umeharibu formular.
Kama ni mtu wa kundi hili unapaswa uwe na koromeo ili mambo yako yaende.
Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
Hata airtel..Hata voda huwa napokelea mkwanja
Huyo jamaa atakuwa akufanyia tathmini na amekuona na ataendelea hivyo.
Tatizo lenu ninyi mabinti mna haraka, inaeleweka lakini muwe na uvumilivu kwani hii ni initial stage ambayo ndio muhimu kuliko stage zote.
WaNorway ni watu poa wasomi na welevu hivyo usimwendee hovyo nilikaa kidogo pale Oslo pana wasomali wengi sana nchi nadhifu sana.
Pia wanakula samaki wa salmon wanampenda sana huyo samaki, hivyo samakisamaki iwe top of agenda kisha weye mwenyewe wampikia ikifika D day.
Kila la kheri ufanikiwe ujikomboe, mvumilivu hula mbivu.
Tena ni namba wani duniani kwa kuishi maisha bora kutokana taarifa za dunia ya kwanzaHuyo jamaa atakuwa akufanyia tathmini na amekuona na ataendelea hivyo.
Tatizo lenu ninyi mabinti mna haraka, inaeleweka lakini muwe na uvumilivu kwani hii ni initial stage ambayo ndio muhimu kuliko stage zote.
WaNorway ni watu poa wasomi na welevu hivyo usimwendee hovyo nilikaa kidogo pale Oslo pana wasomali wengi sana nchi nadhifu sana.
Pia wanakula samaki wa salmon wanampenda sana huyo samaki, hivyo samakisamaki iwe top of agenda kisha weye mwenyewe wampikia ikifika D day.
Kila la kheri ufanikiwe ujikomboe, mvumilivu hula mbivu.
Tena ni namba wani duniani kwa kuishi maisha bora kutokana taarifa za dunia ya kwanza
Baadae muulize vyakula au Suicine atakuambia.Haina shida bro nimekuelewa...hapo kwenye fish hapo!
Asante kwa ushauri!
Elimu yao pia ni bure bila kujali watokea wapi ili mradi una makazi ya kudumu.Tena ni namba wani duniani kwa kuishi maisha bora kutokana taarifa za dunia ya kwanza
Ipo sana mkuu jana tu nimeitumiaHiyo world Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
Tupo pamojaYour right, hakuna mtu wa karibu yangu niliemwambia actually, ndio maana ht nilivyohisi ninahitaji relief ya ushauri nilikuja humu..asante kwa kunikumbusha[emoji120]
We acha mbwembwe bana, njoo tunywe k vant hapa tabata.Asante kwa ushauri wako, ila njaa si shida kwangu na km nilivyosema mwanzo nimekataa wengi na walikua wanapromise hela ila kwa kuomba sexting chattings na vitu km hivyo...hela kwenye mahusiano inanogesha kila sehemu lakini sio ndio ya kunifanya niwe worried sababu at my age nna ajira nzuri tu ya kunifanya nikidhi matumizi yangu.
π π π π π π π π Inakuwa kama gunduKuna haka katabia ukiwa na jambo lako binafsi la kusubiria na ukalisema kwa jirani ama kwa mtu yoyote huwa halitimii. Unakuwa kama umeharibu formular.
Kama ni mtu wa kundi hili unapaswa uwe na koromeo ili mambo yako yaende.
Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
Ni antibiotic from penicillin family ya kutibu bacteria mkuu sio magonjwa sugu.kristapen siyo ya homa bali gonjwa sug la zinaa
Mi naitwa Vladimir niko hapa Moscow Cityπ napenda sana toto nyeusi sema mapepe yao ndio kero...karib sanaa!!!Nice to meet you mr. Lundgren[emoji1]
Hakuna matata kabisa karibu Africa.
MarindaπAtulize kitu gani?[emoji23][emoji23][emoji23]