Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

Extrovert:

Aache tamaa na akae kwa kutulia kama kweli ana upendo wa kuhamisha mito milima na mabonde. Ingawa pia dada anaonekana ana mizinga ambayo ipo indirect saaana.

[emoji28]mko bitter balaa
 
hii true story wenye tamaa na wanaowaza pesa za wanaume, ikiwemo wewe na wengineo hamuwezi mkaelewa wala kuielewa.

Mpaka siku mtakapofumuliwa marinda na kutolewa kafara, ndipo mtakapoelewa vema.

Sio kila mtu anatolewa kafara bwana huyo ilimkuta bahati mbaya...wote walioolewa na wazungu na waafrica wenye hela wametolewa kafara? So ndio mtu ung'ang'ane na maskini kisa kafara? Hebu acheni kugeneralize mambo.
 
Na chuki yao sababu tu kaongelewa mzungu na anatoa pesa. Wanaume wasio na hela wanakuaga na hasira sana kwa wanawake.

Watafute hela waache makasiriko madogo madogo.

Halfu huwezi amini sikutegemea hiyo section ndio ingewatoa ma chozi kiasi hicho ujue[emoji23][emoji23]...yaani nimeshangaa sana, umaskini ukiuendekeza ni kitu kibaya sana.
 

Sasa kakaangu huoni hii kitu ni mbaya!? Sababu kwa nn uumie kwa mafanikio ya mwingine tena kwa kumtolea kejeli na maneno makali ambayo ukiona kabisa yanaashiria maumivu ya nafsi...mi binafsi nimewashangaa na kuwahurumia sababu am sure habari hii ingekua imewafikia dada zao wa damu au mabinti zao am sure wangefurahia[emoji23][emoji23]

Haki nguvu wanayoweka kuchukia wadada ikiwa kabahatisha kupata mtu anaensupport financially wangeiweka kwenye kutafuta hela...trust me wangekua mbali mno.
 
Bro hakuna sehemu nimepeleka mambo faster, halafu sio kila mpenda mzungu ana njaa nina maisha ya kunitosheleza ndio maana sikua na papara nae tangia mwanzo.
Maisha ya kujitosheleza yapi ilihali hata usafiri aligundua huna akakutumia nauli uber ya hapa na pale, huna
Maisha mazuri na hapo unasaka mserereko au unataka kunambia unataka kaburi lako liwekwe norway
 
Kwa hiyo hutaki kuolewa na sisi Waafrika wenzako???, Yaani unataka kudate na mijitu iliyowasuribisha babu zetu kweli?. Ngoja wakutatue marinda.
 
Maisha ya kujitosheleza yapi ilihali hata usafiri aligundua huna akakutumia nauli uber ya hapa na pale, huna
Maisha mazuri na hapo unasaka mserereko au unataka kunambia unataka kaburi lako liwekwe norway

Kwa hiyo wewe maisha mazuri umeona gari ndio la maana au sio? Basi kwa mentality hiyo sina haja ya kuongea sna ntachoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…