Soma vizuri nimesema kuna muda huwa tuna video chat na kupigiana cm pia
Mwisho wa siku mnaishiaga kwenye Mirinda! Acha tamaa!
Hiyo world Remit mbona kwenye nchi zilizo kwenye orodha Tanzania haimo
[emoji1][emoji1][emoji1] jamaniCha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.
Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
Una mawenge, tafuta Kazi ya kufanya! Wazungu Ni Kawaida hiyo the moment anakupa taarifa!
Sio unamjazia matext, unakuwa Ni Fala ukifanya hivyo
Tulia. Utapata majibu sahihi muda ukifika
Dawa chungu ndio huponya haraka mkuu[emoji28]
Mtu wa nje anatumia kutuma pesa bongo na inafika kupitia Tigopesa kama nakumbuka vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23]Cha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.
Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!
Hongera sana binti, relax tu kwa sasa mambo mazuri yatakuja yenyewe!Bro hakuna sehemu nimepeleka mambo faster, halafu sio kila mpenda mzungu ana njaa nina maisha ya kunitosheleza ndio maana sikua na papara nae tangia mwanzo.
Kama Hujui maana huambiwi maana, unataka kumshika uchawi, ipo hata Manzese hiyo na Kwenye list mazense haipo!
Ukitimiwa pesa inakuja mimi natumiwa sana kupitia hii lakin natumiwa na rafikiangu na dada yangu! Lakin sijajua kutoka huku Tz kwenda nchi nyingine kama inafanya kazi
Hii jua wachana nayo mse😅 ukikamata mgodi lazma ukae kijanja usije ukapoteza line ya fuba!😅[emoji23][emoji23][emoji23]
Jua kali sana, linachoma kama upo jehanam.
Unawaza utapata wapi tena laki 7 baada ya kufunga p.o.p ya uongo. Njoo upambane na waswahili tufukunyuane bila mizinga mikali.
Maendeleo hayana chama
World remmit, sendwave zote huwa napokelea pesa😅 toka unyamwezini kwa voda yangu! Hapo hujadanganya kabisa.[emoji23][emoji23] aliona achangie wazo la kupinga kua worldremit hamna
Straight shooter [emoji23], umeona umchane tuCha kwanza nilichokiona tu kwako una tatizo la njaa kwenye mahusiano sio rahisi kwa mtu wa kawaida kukwambia hilo ila most girls wanaowinda wazungu huwa ni sababu ya njaa tu na si kingine. Cha pili tuliza mshono.
Huyo jamaa atakutafuta tu usioneshe kuwa demanding sana huwa mambo yanaendaga smooth tu!